Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Ndo hivyo kuvumiliana hakuna mkamilifu.na asikudanganye mtu hulka huwa ni tabia haiwez kupotea.hvyo ni kuishi nae tu ila asiwe na hulka mby km umalaya bora zingine tu
Changamoto kubwa ni pale inapojifunua tabia fulani ya kuchukiza kabisa wakati tayari mko kwenye ndoa na mna watoto
Hata kama ndoa yenu inaruhusu talaka bado kuna maumivu yake mengi tu na setbacks nyingi tu hasa kwa watoto ambao wamezoea kuwaona wazazi wote wawili
 
Linapokuja swala la tabia ya mwenza nishamkabidhi mwenyezi Mungu alisimamie mana he knows better than me,ntajitahidi kuwa bora kila siku na kumuombea mwenzangu baas,hata sisi wenyewe tuna kasoro nyingi sana tunavumiliwa,hatuna budi kuwavumilia wenza wetu pia,hakuna mkamilifu,ukipata mwenye afadhali akakushika basi shikamanaaa
 
Linapokuja swala la tabia ya mwenza nishamkabidhi mwenyezi Mungu alisimamie mana he knows better than me,ntajitahidi kuwa bora kila siku na kumuombea mwenzangu baas,hata sisi wenyewe tuna kasoro nyingi sana tunavumiliwa,hatuna budi kuwavumilia wenza wetu pia,hakuna mkamilifu,ukipata mwenye afadhali akakushika basi shikamanaaa
Lady, kweli kila mtu ana mapungufu yake, so kuchukuliana mizigo hakuepukiki na sio kuvumiliana ( uvumilivu una mwisho ujue, afu we are supposed to enjoy life na sio ku-endure life). Kama ni mapungufu ambayo unaweza ukayaaccept basi itapendeza na sio unakaa kila siku unanung'unikia tabia ya mwenzio, lakini ndo upo tu kisa no one is perfect nope. Basi inabidi uangalie mzigo ambao unaweza kuubeba. Ingawa let's be honest, Karibu kila mtu ana tabia ambazo hawezi kuzivumilia. Mfano mwanaume wako awe anakupiga hadi unazimia mmh sijui kama utavumilia. Kuchukuliana yeah lazima, lakini usichukue mzigo ambao utakufanya kila siku ulie au kukuharibia maisha yako kabisa.
 
True story; mwaka 2011 binti mmoja aliolewa na jamaa mmoja 'handsome sana' kijana mtulivu asiye na mambo ya michepuko kabisa
Huyu jamaa alikuwa na jamaa yake mmoja walikuwa hawaachani they were more than best friends, kwahiyo hata ilipotokea kutokuelewana ndani ya nyumba jamaa ndio aliitwa kama msuluhishi
Siku moja mwaka 2013 binti akawa anaenda kwenye kikao mahali nyumba akimwachia mumewe na shemeji naye alikuwepo
Akiwa keshapanda bus akapigiwa simu kwamba kikao kimeahirishwa hivyo hakuwa na namna zaidi ya kushuka na kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani, kufika hm akaingia moja kwa moja sebuleni mlango ulikuwa umeegeshwa tu lakini hakuona mtu hivyo akaongoza chumbani...
Ni huko chumbani alimkuta mumewe wa ndoa anapumuliwa kisogoni na yule best friend wake...binti alizindukia hospitali na kwa miaka miwili mfululizo hakuwa sawa kabisa
Ndoa ile ilivunjika lakini huyo jamaa kaoa tena na mkewe wa sasa inasemekana anaijua fika tabia ya mumewe lakini kaikubali
Huyo jamaa ni mc maarufu sana na FB hakauki
Isije ikawa ni yule daktari wa mahusiano...
 
Lady, kweli kila mtu ana mapungufu yake, so kuchukuliana mizigo hakuepukiki na sio kuvumiliana ( uvumilivu una mwisho ujue, afu we are supposed to enjoy life na sio ku-endure life). Kama ni mapungufu ambayo unaweza ukayaaccept basi itapendeza na sio unakaa kila siku unanung'unikia tabia ya mwenzio, lakini ndo upo tu kisa no one is perfect nope. Basi inabidi uangalie mzigo ambao unaweza kuubeba. Ingawa let's be honest, Karibu kila mtu ana tabia ambazo hawezi kuzivumilia. Mfano mwanaume wako awe anakupiga hadi unazimia mmh sijui kama utavumilia. Kuchukuliana yeah lazima, lakini usichukue mzigo ambao utakufanya kila siku ulie au kukuharibia maisha yako kabisa.
Yah ni kweli lazma kuwe na cutoffs, Kuna kasoro zinavumilika na zingine hupaswi kabisa kuvumilia
Kama kipigo looh Mungu aepushie mbali,
 
Ukitaka kujua tabia za mtu unaeanzisha nae mahusiano moja ya kitu unachotakiwa kuepuka ni kumwambia akwambie vitu anavyopendelea na asivyopendelea..Hapa mara nyingi drama ndipo zinapoanza.. Vile vitu utakavyosema huvipendi ntajaribu kuvificha hata kama ninavyo ili mradi nikupate..Hayo maigizo kumaintain ni kazi..Itafika kipindi mtu anashindwa kuficha tabia yake..Kipindi zinafumuka unajikuta tayari upo ndani ya ndoa na huyo muigizaji na hakuna mlango wa kutokea.

Mara nyingi ni vizuri kumsoma mtu ujue ni mtu wa aina gani bila yeye kukwambia kisha ujipime kama unaweza kuwa nae au vipi
Kuna watu wanajua kuficha makucha mkuu siku yakija kutokea unajiuliza ni yuleyule au mwingine? Cha muhimu keep in mind kwamba unaishi na binadamu anayeweza kuwa na mapungufu au kukosea sehemu. Utakuwa na amani na above all utakuwa understanding na utaweza kumchukulia na kumhifadhia mapungufu yake.
 
True story; mwaka 2011 binti mmoja aliolewa na jamaa mmoja 'handsome sana' kijana mtulivu asiye na mambo ya michepuko kabisa
Huyu jamaa alikuwa na jamaa yake mmoja walikuwa hawaachani they were more than best friends, kwahiyo hata ilipotokea kutokuelewana ndani ya nyumba jamaa ndio aliitwa kama msuluhishi
Siku moja mwaka 2013 binti akawa anaenda kwenye kikao mahali nyumba akimwachia mumewe na shemeji naye alikuwepo
Akiwa keshapanda bus akapigiwa simu kwamba kikao kimeahirishwa hivyo hakuwa na namna zaidi ya kushuka na kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani, kufika hm akaingia moja kwa moja sebuleni mlango ulikuwa umeegeshwa tu lakini hakuona mtu hivyo akaongoza chumbani...
Ni huko chumbani alimkuta mumewe wa ndoa anapumuliwa kisogoni na yule best friend wake...binti alizindukia hospitali na kwa miaka miwili mfululizo hakuwa sawa kabisa
Ndoa ile ilivunjika lakini huyo jamaa kaoa tena na mkewe wa sasa inasemekana anaijua fika tabia ya mumewe lakini kaikubali
Huyo jamaa ni mc maarufu sana na FB hakauki

Duhh si Yule Mwalimu wa songs? Kama ndiye jamaa siku hizi kaibukia Lutheran anachapa injili kama hana akili nzuri. Ndio amezidi kujibinua
 
d987097e8c8575a51ef34a66fc0ba71e.jpg
Binadamu ana hulka ya kutosema ukweli....hulka ya kutosema mabaya/madhaifu yake
Wengi wetu huvutiwa na lugha za watu hasa mnapoonana kwa mara ya kwanza
Mapenzi kabla ya ndoa si kipimo halisi cha tabia utakazokutana nazo ndani ya ndoa hasa mihemko na Masham sham vinapoisha
Uwe makini na kuwa tayari kukabiliana na ukweli mchungu kuwa yule kabla ya ndoa hawezi kwa asilimia mia kuwa huyu baada ya ndoa
Hizi tabia hazionekani mapema bali hujifunua taratibu kadiri muda na kuzoeana kunapoongezeka..na hii yaweza kuchukua hata miaka
Watu wengi sana wameshindiwa hapa kwamba yule mtu uliyempenda na kumwamini sana kumbe ni
Mlevi mbwa
Malaya kupindukia
Mnafiki sana
Muongo
Bahili
Ana roho mbaya
Mbinafsi
Mchonganishi
Kigeugeu nknk
Ndani ya mahusiano ya muda mrefu ndio tabia kama hizi hujifunua, ni ngumu kwa baadhi ya hizi tabia mtu kusema ukweli wake ni ngumu sana
Moyo wa mtu ni kiza kinene sana, wengi wetu humu tuko kwenye mahusiano ya kindoa au kimapenzi tu, wengine wameshatendwa na wanaugulia maumivu
Jiepushe na maumivu jiepushe na kuvunjika kwa mahusiano kwasababu kuna gharama zake kubwa tu...imagine una invest muda raslimali na hisia zako kwa mtu kwa zaidi ya miaka mitano halafu unaishia divorce...!!! Gharama na hasara si haba
Tambua kwamba kuna tabia za kuchukiza na pengine zisizovumilika.. jiandae kuzikabili na kuzikubali.. .. hakuna mkamilifu kila mwanadamu ana roho ya kishetani ikiwemo WEWE[emoji12] [emoji15] [emoji23]Asikudanganye mtu kuwa hizo tabia zinarekebishika, huko ni kujidanganya na kujitafutia maumivu zaidi
78d839dc3add7eb5673093f810dba387.jpg
Bravo Mkuu,natoa ushauri tu,nakuomba andika vitabu tafadhali,utauza mpaka utajishangaa ni vipi BWANA MUNGU MUUMBA ALIVYOKUZAWADIA MATERIAL,anyway ni ushauri Mkuu,na hii sisemi KUJIPENDEKEZA kwa ajili ya nilivyo KUKOSEA huko nyuma,HALELUYAH ,.,.,.BWANA ASIFIWE NA KILA GOTI LITAPIGWA KWA BWANA YESU WA NAZARETHI,.,.,AMEEEEEEEEEEEEEEEEN.
 
Lady, kweli kila mtu ana mapungufu yake, so kuchukuliana mizigo hakuepukiki na sio kuvumiliana ( uvumilivu una mwisho ujue, afu we are supposed to enjoy life na sio ku-endure life). Kama ni mapungufu ambayo unaweza ukayaaccept basi itapendeza na sio unakaa kila siku unanung'unikia tabia ya mwenzio, lakini ndo upo tu kisa no one is perfect nope. Basi inabidi uangalie mzigo ambao unaweza kuubeba. Ingawa let's be honest, Karibu kila mtu ana tabia ambazo hawezi kuzivumilia. Mfano mwanaume wako awe anakupiga hadi unazimia mmh sijui kama utavumilia. Kuchukuliana yeah lazima, lakini usichukue mzigo ambao utakufanya kila siku ulie au kukuharibia maisha yako kabisa.
Umeolewa??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom