Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Teh mbona umecheka mshanaHahhahahaaaa amazing...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh mbona umecheka mshanaHahhahahaaaa amazing...!
HahahaTatizo umbea kwa wanawake uko ktk DNA zao!! Hapa kwa hawa wenzetu tukubali tu kuwa hii ni sifa yao ya kibayolojia. Wanawake wote ni wambea!
bora kuchelewa utaweza kujihami kuliko harakaharaka haina baraka ndugu kwenye haya mambo hayataki pupa.Narudia tena better late this works for me na sijajuta for all these years i thanks God sijui kwa wengine.lakini inategemea utakavoona.Mara nyingi hua nawaambia wale wanaochelewa au kukawia kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha kuwasoma wachumba/wapenzi wao wanapoteza muda bure. Ni kweli kuna baadhi ya tabia watazigundua lakini kuna zingine hata muwe kwenye mahusiano karne nzima, huwezi kuzigundua hadi uishi na huyo mhusika.
Hivyo ukishaona kuna baadhi ya vitu mnaendana na mwenzio na mnapendana, ni kufanya maamuzi huku ukitegemea na kujiandaa kukabiliana na mambo mageni kutoka kwa mke/Mme ambayo haukuwahi kabisa kuyafaham.
shindwa labda wakoHahaha
bora kuchelewa utaweza kujihami kuliko harakaharaka haina baraka ndugu kwenye haya mambo hayataki pupa.Narudia tena better late this works for me na sijajuta for all these years i thanks God sijui kwa wengine.lakini inategemea utakavoona.
Tuko pamoja. . Ukweli mtupu. Loyalty, Honest, detectives, secretive, and Passion play part..We Scorpios, can tell/smell the phonies from the get-go. 'fore you're let in on-board, all your baggage are thoroughly scanned. Hand baggage, hold baggage, you baggage; checked.
Where my Scorpios at?
Tambua kwamba kuna tabia za kuchukiza na pengine zisizovumilika.. jiandae kuzikabili na kuzikubali.. .. hakuna mkamilifu kila mwanadamu ana roho ya kishetani ikiwemo WEWE![]()
![]()
![]()
Hahhahahaaaa ushirikina [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]yaani kwanza nimejichunguza ghafla na nikaliona lishetani lililoweka kiti katika roho yangu nimecheeeka saana aiseeeee, what kind of shetani do you have mshana if u won't mind sharing though😉😉
Hahhahahaaaa ushirikina [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Unknown [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji23] [emoji23] [emoji23]