Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Nakuunga mkono kwa 100%. Unakuwa na mahusiano na msichana na unamuona muelewa. Unaona ana nia ya dhati ya kujemga familia..mnalianzisha na unaona anakuwa msaada kwako mwanzoni. Baadae unaanza kuona element ya ubinafsi anataka chako kiwe chenu lakini yeye chake anaficha. Unaanza kushangaa ma kujiuliza ni kwanini. Hana mke mwenza na huna mchepuko.Unajiuliza hiyo yote ya nini! Mna watoto unawasomesha shule nzuri na nyumbani unatoa matumizi. Yeye kila analofanya ni kwa kificho. Ikifika hapo unaanza kuwaza labda mwenzangu ana mpango uliojificha. Unabaki huelewi...Ukweli nakubali tabia zinajificha na mara nyingi huwa tunadanganyika hapo mwanzoni.
hili swala linakera saaana katika ndoa nyingi
 
True story; mwaka 2011 binti mmoja aliolewa na jamaa mmoja 'handsome sana' kijana mtulivu asiye na mambo ya michepuko kabisa
Huyu jamaa alikuwa na jamaa yake mmoja walikuwa hawaachani they were more than best friends, kwahiyo hata ilipotokea kutokuelewana ndani ya nyumba jamaa ndio aliitwa kama msuluhishi
Siku moja mwaka 2013 binti akawa anaenda kwenye kikao mahali nyumba akimwachia mumewe na shemeji naye alikuwepo
Akiwa keshapanda bus akapigiwa simu kwamba kikao kimeahirishwa hivyo hakuwa na namna zaidi ya kushuka na kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani, kufika hm akaingia moja kwa moja sebuleni mlango ulikuwa umeegeshwa tu lakini hakuona mtu hivyo akaongoza chumbani...
Ni huko chumbani alimkuta mumewe wa ndoa anapumuliwa kisogoni na yule best friend wake...binti alizindukia hospitali na kwa miaka miwili mfululizo hakuwa sawa kabisa
Ndoa ile ilivunjika lakini huyo jamaa kaoa tena na mkewe wa sasa inasemekana anaijua fika tabia ya mumewe lakini kaikubali
Huyo jamaa ni mc maarufu sana na FB hakauki
Duh!
 
Na maombi pia ni Muhimu sana

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
nlikuwa naskiliza speech ya Ngozi wa Nigeria kuhusiana na masuala ya feminism akasema "mwanawake anapretend sana mpaka anakngia kwenye ndoa sasa bakisha ingia tu, na nia yake ilikuwa kuingia basi anachoka kuendelea na pretend yake kwahiyo ndo unaanza kuona tabia za ajabu zinachipuka" hapo ndo tunaanza kushangaa na kudai kuwa tumepotea. Hivyo wakuu maombi na kumshirikisha Mwenyez Mungu n muhim
 
nlikuwa naskiliza speech ya Ngozi wa Nigeria kuhusiana na masuala ya feminism akasema "mwanawake anapretend sana mpaka anakngia kwenye ndoa sasa bakisha ingia tu, na nia yake ilikuwa kuingia basi anachoka kuendelea na pretend yake kwahiyo ndo unaanza kuona tabia za ajabu zinachipuka" hapo ndo tunaanza kushangaa na kudai kuwa tumepotea. Hivyo wakuu maombi na kumshirikisha Mwenyez Mungu n muhim
Duu[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
Ukiona haujajua mapungufu ya mwenzako basi jua upo kwe mahusiano na mtu hatari sana,
 
d987097e8c8575a51ef34a66fc0ba71e.jpg


Binadamu ana hulka ya kutosema ukweli... .hulka ya kutosema mabaya/madhaifu yake. Wengi wetu huvutiwa na lugha za watu hasa mnapoonana kwa mara ya kwanza.

Mapenzi kabla ya ndoa si kipimo halisi cha tabia utakazokutana nazo ndani ya ndoa hasa mihemko na Masham sham vinapoish. Uwe makini na kuwa tayari kukabiliana na ukweli mchungu kuwa yule kabla ya ndoa hawezi kwa asilimia mia kuwa huyu baada ya ndoa.

Hizi tabia hazionekani mapema bali hujifunua taratibu kadiri muda na kuzoeana kunapoongezeka..na hii yaweza kuchukua hata miaka.

Watu wengi sana wameshindiwa hapa kwamba yule mtu uliyempenda na kumwamini sana kumbe ni;
Mlevi mbwa
Malaya kupindukia
Mnafiki sana
Muongo
Bahili
Ana roho mbaya
Mbinafsi
Mchonganishi
Kigeugeu n.k.

Ndani ya mahusiano ya muda mrefu ndio tabia kama hizi hujifunua, ni ngumu kwa baadhi ya hizi tabia mtu kusema ukweli wake ni ngumu sana.

Moyo wa mtu ni kiza kinene sana, wengi wetu humu tuko kwenye mahusiano ya kindoa au kimapenzi tu, wengine wameshatendwa na wanaugulia maumivu
Jiepushe na maumivu jiepushe na kuvunjika kwa mahusiano kwasababu kuna gharama zake kubwa tu... imagine una invest muda raslimali na hisia zako kwa mtu kwa zaidi ya miaka mitano halafu unaishia divorce...!!! Gharama na hasara si haba.

Tambua kwamba kuna tabia za kuchukiza na pengine zisizovumilika.. jiandae kuzikabili na kuzikubali.. .. hakuna mkamilifu kila mwanadamu ana roho ya kishetani ikiwemo WEWE[emoji12] [emoji15] [emoji23]

Asikudanganye mtu kuwa hizo tabia zinarekebishika, huko ni kujidanganya na kujitafutia maumivu zaidi.

78d839dc3add7eb5673093f810dba387.jpg

Ukweli tupu, ila huyu dada mwenye manati ndio amefanya nicheke tuu maana ime reflect nakutoa support yaliyo andikwa…
 
Ukweli tupu, ila huyu dada mwenye manati ndio amefanya nicheke tuu maana ime reflect nakutoa support yaliyo andikwa…
[emoji2] [emoji2] [emoji2] moyo wa mtu ni kiza kinene
 
Mara nyingi hua nawaambia wale wanaochelewa au kukawia kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha kuwasoma wachumba/wapenzi wao wanapoteza muda bure. Ni kweli kuna baadhi ya tabia watazigundua lakini kuna zingine hata muwe kwenye mahusiano karne nzima, huwezi kuzigundua hadi uishi na huyo mhusika.

Hivyo ukishaona kuna baadhi ya vitu mnaendana na mwenzio na mnapendana, ni kufanya maamuzi huku ukitegemea na kujiandaa kukabiliana na mambo mageni kutoka kwa mke/Mme ambayo haukuwahi kabisa kuyafaham.
I like this. U nailed it Nigg.a
 
True story; mwaka 2011 binti mmoja aliolewa na jamaa mmoja 'handsome sana' kijana mtulivu asiye na mambo ya michepuko kabisa
Huyu jamaa alikuwa na jamaa yake mmoja walikuwa hawaachani they were more than best friends, kwahiyo hata ilipotokea kutokuelewana ndani ya nyumba jamaa ndio aliitwa kama msuluhishi
Siku moja mwaka 2013 binti akawa anaenda kwenye kikao mahali nyumba akimwachia mumewe na shemeji naye alikuwepo
Akiwa keshapanda bus akapigiwa simu kwamba kikao kimeahirishwa hivyo hakuwa na namna zaidi ya kushuka na kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani, kufika hm akaingia moja kwa moja sebuleni mlango ulikuwa umeegeshwa tu lakini hakuona mtu hivyo akaongoza chumbani...
Ni huko chumbani alimkuta mumewe wa ndoa anapumuliwa kisogoni na yule best friend wake...binti alizindukia hospitali na kwa miaka miwili mfululizo hakuwa sawa kabisa
Ndoa ile ilivunjika lakini huyo jamaa kaoa tena na mkewe wa sasa inasemekana anaijua fika tabia ya mumewe lakini kaikubali
Huyo jamaa ni mc maarufu sana na FB hakauki
Astaghfilullah
 
kaka mshana me ni muhanga ya hayo mambo sisemi ongo ila mwanamke ni mtu hatari sana mpaka sasa nimeamua kuishi na mwanangu tu.baada ya mateso
 
kaka mshana me ni muhanga ya hayo mambo sisemi ongo ila mwanamke ni mtu hatari sana mpaka sasa nimeamua kuishi na mwanangu tu.baada ya mateso
[emoji15] [emoji25] kagombe pole sana japo hii kitu naona kama ni kote kote... Kuna wanawake pia wanatuona wanaume kama mashetani wakubwa
 
Back
Top Bottom