Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Kesho ni fainali ya Azam Sports Federation kati ya Yanga Vs Azam. Tabiri matokeo sahihi ujipatie shilingi elfu 5. Mshindi atakuwa mmoja tu na wa kwanza kutabiri kwa usahihi.
Mwisho wa kuweka utabiri wako ni saa 9:00 (saa tisa kamili) mchana baada ya hapo ubashiri wako hautakuwa halali. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Haya tiririka na kuserereka...
🚨🚨🚨🚨🚨
Updates:
Mshindi wetu ni Cetshwayo Kampande ambapo alitabiri vyema katika comment namba 7 na ameshakabidhiwa mzigo wake
Mwisho wa kuweka utabiri wako ni saa 9:00 (saa tisa kamili) mchana baada ya hapo ubashiri wako hautakuwa halali. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Haya tiririka na kuserereka...
🚨🚨🚨🚨🚨
Updates:
Mshindi wetu ni Cetshwayo Kampande ambapo alitabiri vyema katika comment namba 7 na ameshakabidhiwa mzigo wake