Taboa: Nauli za mabasi zitaendana na uzito wa mtu

Taboa: Nauli za mabasi zitaendana na uzito wa mtu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1590049007037.png

Vitambi sasa basi, corona inawapenda wenye vitambi na kwenye usafiri wana nyanyasika.
 
Hapa lazima watu wafanye mazoezi kwa lazima,nafikiria nauli ya Dar-Dom sh.25,000.00,ukiwa na kitambi 40,000.00 na mimi nisie na kitambi 15,000.00 [emoji23],walikuwa wananicheka sina kitambi sasa hivi wataniona bonge la mjanja...
Hii ni habari njema kwa sisi vimbaumbau...........hahhahahahah
 
Back
Top Bottom