Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni nitauweza kweli na hiki kiribatumbo changu?[emoji848]Utakusaidia kuchoma mafuta ya ziada mwilini.
Taboa wabarikiwe kwa wazo hiliHapa lazima watu wafanye mazoezi kwa lazima,nafikiria nauli ya Dar-Dom sh.25,000.00,ukiwa na kitambi 40,000.00 na mimi nisie na kitambi 15,000.00 😂,walikuwa wananicheka sina kitambi sasa hivi wataniona bonge la mjanja...
Hii ni habari njema kwa sisi vimbaumbau...........hahhahahahahHapa lazima watu wafanye mazoezi kwa lazima,nafikiria nauli ya Dar-Dom sh.25,000.00,ukiwa na kitambi 40,000.00 na mimi nisie na kitambi 15,000.00 [emoji23],walikuwa wananicheka sina kitambi sasa hivi wataniona bonge la mjanja...