Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LE MUTUZ hatoweza kwa mama yke Anne KilangoView attachment 1455526
Vitambi sasa basi, corona inawapenda wenye vitambi na kwenye usafiri wana nyanyasika.
[emoji38][emoji38][emoji38]Kama wameshindwa kutuheshimu sisi, waheshimu hata vitambi vyetu basi...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]mi mmoja wapo nitafurahi kweliKuna watu tutalipia nauli ya daladala kwenda mikoan
Wakati huo kwenye siti moja mnaweka watatuHii ni habari njema kwa sisi vimbaumbau...........hahhahahahah
Hata kupumua inakua shidaWakati huo kwenye siti moja mnaweka watatu
Msitufanye mapoyoyo. Wekeni na tarehe ya siku ambayo gazeti liliandikwaView attachment 1455526
Vitambi sasa basi, corona inawapenda wenye vitambi na kwenye usafiri wana nyanyasika.
Na sie fito, tutakuwa twasafiri bure kabisaaa 😀😀😀Kama nawaona wenye kilo zao wanavyotafakari itakuwaje kuwaje?
hii bei imekuja baada ya Enea Mrutu ku passawayLe Mutuz
uwe unapakatwaWawahi fasta na huo utaratibu Arusha - Dar nitalipa buku 3. Nimedhulumiwa kwa mda mrefu sana kamwili sindano halafu unawekwa na jitu pipa halafu wote mmelipa nauli sawa na bado hukai kwa raha
Kupakatwa hapana aisee 😁😁uwe unapakatwa
[emoji23][emoji23] naona wamechagua lugha isiyo na ukakasi kidogo. Kwa hiyo kila basi litakuwa na mzani?Wangesema tu mtatozwa kama mizigo
Wanazunguka nini
Sent from my iPhone using Tapatalk
[emoji23][emoji23] naona wamechagua lugha isiyo na ukakasi kidogo. Kwa hiyo kila basi litakuwa na mzani?
Sent using Jamii Forums mobile app