Tabora: Ahukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya ulawiti

Huyo jamaa hakuwa mzima, anawezaje kufanya tendo la aina hiyo hadharani? Ni mtu asiye na akili kamilifu nfiyo anayeweza kufanya wendawazimu huo hadharani.

Vv
 
Jamaa shoga nini?
 
Duuh! Hadharani? 🤔

Inabidi wananchi wa hilo eneo wachunguzwe aisee.
 
Huyo aliepigwa pipe nae atakua bwabwa. Yani upigwe pipe hadharani na wewe umetulia tu.

Yena na mtu mmoja.
 
Nawaza tu hiyo Hadharanii kasimamisha mashine kaingiza kwenye tigo ya mwenzake.

Hio hadhara ilikuwa na watu wa aina gani? Walikuwa wanashangilia ama wanasikitika ?
Unyamwezi wazawa kushuhudia mtu wa kuja akifanyiwa jambo baya kwao ni sherehe.
 
Duuh! Hadharani? [emoji848]

Inabidi wananchi wa hilo eneo wachunguzwe aisee.
Unatembea na mke wa mtu unaonywa husikii

Sasa wananchi waingilie ili iweje wakati inajulikana hio.ndio adhabu yake kwa mtu aliyeshikwa ugoni


Sema huyo alikosea kufanya hadharani wengine wanapigwa kimya kimya huko wanajikausha wanaacha hio tabia
 
Jamaa kamtoa masega mwenzie hadharani na hiyo jamii ya hapo nayo ilikua inatazama tu mtu anafumuliwa masega? Kuna tatizo pahala
 
du!!!!!.........noma sana!!
 
Hii habari inatisha sana🤣,kumbe hata kama hupigwagi ila li mtu linaweza kukukaza tu first time, au victim alikuwa alishazoea hiyo michezo
 
Achaneni na wake za watu, mtaolewa sana mkiendelea kutolea macho wake za watu, na nyinyi wake za watu kataeni mnapotongozwa mnatia watu majaribuni, mtu umeolewa unaleta macho kodo
 
alimfunga kamba au alimpa dawa za kulevia ilikuwaje fafanua bhana unaandika kama unakimbizwa haya rudi kaandike vizuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…