PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Nitakuwa mnafiki nikitoa pole Kwa msiba huu hata Mimi naona sio mbaya lkn Acha aende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuwa mnafiki nikitoa pole Kwa msiba huu hata Mimi naona sio mbaya lkn Acha aende
Aepushie mbali na wapi! Na badoMungu aepushie mbali kwa kweli!
Bwashee umekaa kifipa fipa!Aepushie mbali na wapi! Na bado
Alikuwa anadaiwa na wafanya biashara wenzake.Bwashee jiangalie upelelezi haujafungwa!
Lakini hebu tuangalie upande wa pili wamelalamika sana lakini hakuna kilicho kuwa kinaendelea chuki IPO juu sana tunao uswahili ndio tunayaona haya lakini kama huponi kwenye kiyoyozi taarifa unaletewa tu huwezi jua ila mungu atusaidie tu kuyaepuka haya R.I.P diwaniInasikitisha sana kuona wingu la chuki na visasi likitanda, mvua yake itakuwa ni damu zisizo na hatia. Mungu epushia mbali.
Ukute alichukua mke wa mtu. Wacha apate anachostahili.Bwashee umekaa kifipa fipa!
Hahhaaa akumbe na wewe una moyo?? Zile comment zako kumbe ni dhidi ya wanachadema tu? Acha unafiki furahia na hii pia.Inasikitisha sana kuona wingu la chuki na visasi likitanda, mvua yake itakuwa ni damu zisizo na hatia. Mungu epushia mbali.
Kwa hiyo huyo marehemu Diwani wa CCM (RIP) amewapa ushirikiano Polisi. Kuna watu na wajinga kweli.Lisu angesaidiwaje ilihali hakutaka kutoa ushirikiano kwa polisi? Au unadhani polisi wanapiga ramri. Wamarekani na wakanada watamsaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kufurahi au ku-comment kufurahishwa na kifo cha mtanzania yeyote.Hahhaaa akumbe na wewe una moyo?? Zile comment zako kumbe ni dhidi ya wanachadema tu? Acha unafiki furahia na hii pia.
Kwahiyo marehemu diwani katoa ushirikiano gani kwa polisiLisu angesaidiwaje ilihali hakutaka kutoa ushirikiano kwa polisi? Au unadhani polisi wanapiga ramri. Wamarekani na wakanada watamsaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unashabikia serikali ya CCM unapinga vipi sera zake za mauaji, utekaji na utesaji?? Mdude CHADEMA alipigwa nusra kuuawa ulikomenti nini??Sijawahi kufurahi au ku-comment kufurahishwa na kifo cha mtanzania yeyote.
Aache kuchukua wake za watu.Huyo diwani angekuwa ni wa ufipa leo tusingelala humu.