playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Juzi Katibu mkuu wao alisimama anazungumza namna wanavyoweza kutumia dola kubaki madarakani wanasahau hata hao maaskari ni binadamu tu watu wakiamua wanadili nao vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app