Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaa kweli nimeamini watu wengine akili zao zipo kwenye makwapa.Mtoto baada ya kwenda shule, anapelekwa kwenye shughuli za kilimo. 🤔🤔🤔
Wewe tangu lini ukawa una akili.???Daaaa kweli nimeamini watu wengine akili zao zipo kwenye makwapa.
Hata hivyo siku hizi ,damu ya mlalahoi wa Tanzania haina thamani yoyote, tunasuburi tu kusikia mwingine tena ameuwa sijui na nani nani huko, Kisha tunasahau maisha yanaendelea, matamko makali makali mbele ya camera kwamba tunachunguza ndiyo inakuwa mwisho.Askari watatu wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) pamoja na mgambo wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Grace Mussa (4) katika Kijiji cha Mpanda Mlowoka wilayani Kaliua, mkoani Tabora.
Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 2, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Bwao amesema askari hao wanadaiwa kuhusika na kifo cha mwanafunzi huyo wa Shule ya Awali ya Kalemela baada ya kufyatua risasi na kumpiga mtoto huyo.
“Desemba 2, 2024 maeneo ya Kijiji cha Mpanda Mlowoka, saa nane mchana askari wa uhifadhi wa misitu wakiwa kwenye doria Hifadhi ya Taifa ya Msitu wa Kigosi Muyowosi walikamata trekta lenye namba za usajili T.689 DCA mali ya Sandu Kate iliyokuwa inalima ndani ya hifadhi.
“Wakiwa njiani kurudi kambini kwao maeneo ya Igombambili Kitongoji cha Mpanda Mlowoka wananchi walijikusanya na kuwazuia askari hao wasiipeleke trekta hiyo kambini kwao na kuziba barabara na magogo, ndipo askari hao wakiwa na silaha mbili aina ya AKA 47 walifyatua risasi na kusababisha kifo cha Grace Mussa na kumjeruhi Zengo Sandu (27),”amesema.
View attachment 3168105
Hawa ni wapuuzi sana, wamefeli form 4! Shenzi kabisa! Ni sawa na Hawa wenye D2!Askari wa hifadhini wana roho mbaya sana
Sawa Dada yangu kama unaniona mimi sina akili, lakini kwa binti mkubwa kama wewe ambae umeshavunja ungo hauwezi kuandika maneno kama hayo hasahasa kwa binti mdogo ambae amepigwa risasi.Wewe tangu lini ukawa una akili.???
Nadhani wao uhisi kila aliyekoporini ni mnyama hatarishi.Hata kama ndio umpige mtu risasi kumuua!?
Kwanini wasingemkamata na kumuwajibisha kwa namna inayofaa hadi akatishwe uhai!?
Wanatafuta namna ya kukwepa eti baadae ionekane alidhani ni mnyama hatari kumbe ni binafamu analima, sasa haya mtoto ni miaka 4Hivi hata hii ya kuandika kuwa mtoto wa 4 yrs alikuwa analima imekaaje? Anyway Rest in heaven katoto 💔
Tanzania ina watu wa kila aina mkuu. Binafsi nimeshangaa piaDaaaa kweli nimeamini watu wengine akili zao zipo kwenye makwapa.
Kuna sehemu amesema mtoto alikuwa analima?Mtoto baada ya kwenda shule, anapelekwa kwenye shughuli za kilimo. 🤔🤔🤔
Kazi ya TFS inahusu kupambana na ujangili, wao pia hushambuliwa kwa risasi.kwa hiyo TFS nao ni askari? hivi mbona jeshi limekuwa jepesi sana siku hizi? hao ni askari au raia wakakamavu?
Huyu naye khee! Kumbe humu kuna wanaojifunza sheria kwa kutumia maoni yetu, eti wanakwepa ada.Will there be a trial for excessive use of force against unarmed civilian? What precautions must be taken by law enforcement officers in there prescribed duties? What are the protocol for trespassing a conserved area?
My wish is to see justice prevail for the loss of life of a child who's dreams were shattered too soon.
Moderator wamehariri habari, mara ya kwanza ilisomeka hivyo kuwa mtoto mdogo alikuwa shamba analima....Kuna sehemu amesema mtoto alikuwa analima?