Tabora: Askari TFS matatani kusababisha kifo cha mwanafunzi wa awali

Tabora: Askari TFS matatani kusababisha kifo cha mwanafunzi wa awali

Sawa Dada yangu kama unaniona mimi sina akili, lakini kwa binti mkubwa kama wewe ambae umeshavunja ungo hauwezi kuandika maneno kama hayo hasahasa kwa binti mdogo ambae amepigwa risasi.
. Kwa hiyo mimi ni dada ako siyo?? 🤔 🤔..

. Na je ulisoma habari mara ya kwanza kabla haijahaririwa na moderator??

. Kwamba na wewe watoto wa awali (miaka 5 - 6) huwa unawapeleka kwenye kilimo??
 
The usher of AI technology, lawyers and other professionals will soon become redundant. Umejiandaaje kwa hili Mkuu?

Huyu naye khee! Kumbe humu kuna wanaojifunza sheria kwa kutumia maoni yetu, eti wanakwepa ada.
 
The usher of AI technology, lawyers and other professionals will soon become redundant. Umejiandaaje kwa hili Mkuu?
Ngumu kujiandaa kwani zitakuja robots ambazo ni mahili kutongoza, zitakomba wanawake wote wazuri.
 
. Kwa hiyo mimi ni dada ako siyo?? 🤔 🤔..

. Na je ulisoma habari mara

Huyo lofa anaitwa Sandu nani alimtuma kwenda kulima ndani ya hifadhi. Ilitakiwa afe yeye, askari walikuwa wanatimiza wajibu wao, watu watii sheria bila shuruti. Hizo tabia za kipuuzi kutaka kushindana na maaskari mwisho wake mbaya, kutafafanya nchi isitawalike. Wapigwe tena mbaya sn. Askari hawawezi kufanywa lolote
Dada yangu kwa kuwa nawe ni WP lazima uwe na chongo tu, hauwezi kuona. Sawa tufanye huyo mkubwa alikuwa ni sahihi kupigwa je huyo mtoto wa miaka 4 hapo vipi ?

Kwa hiyo ni sawa kudhulumu uhai wa huyo mtoto ?
 
hao asikari sijui wa miti sijui wa wanyama pori kwao kila kitu ni bunduki tu hata wakikuta kuna moto unawaka ni risasi tu hata nyuki wakiwaona ni risasi tu.
 
Back
Top Bottom