Tabora: Askari TFS matatani kusababisha kifo cha mwanafunzi wa awali

Hata hivyo siku hizi ,damu ya mlalahoi wa Tanzania haina thamani yoyote, tunasuburi tu kusikia mwingine tena ameuwa sijui na nani nani huko, Kisha tunasahau maisha yanaendelea, matamko makali makali mbele ya camera kwamba tunachunguza ndiyo inakuwa mwisho.
 
Aisee Nchi kama imelaaniwa hii yaani mtoto anauawa kwa risasi kirahisi tu wakilinda mbao ya mninga..
 
Hivi hata hii ya kuandika kuwa mtoto wa 4 yrs alikuwa analima imekaaje? Anyway Rest in heaven katoto πŸ’”
 
Askari wa vyombo vyetu wanachangamoto ya jinsi ya kutuliza ghasia za raia wasiokua na silaha . Kila ghasia hata kama ni ndogo kiasi gani inaohusisha vyombo hivi na raia lazima kutokee vifo .Utasikii risasi ilipigwa juu ikampata bahati mbaya au katika harakati za kuokoa maisha yake akampiga risasi bahati mbaya .
 
Hata kama ndio umpige mtu risasi kumuua!?
Kwanini wasingemkamata na kumuwajibisha kwa namna inayofaa hadi akatishwe uhai!?
Nadhani wao uhisi kila aliyekoporini ni mnyama hatarishi.
 
Hivi hata hii ya kuandika kuwa mtoto wa 4 yrs alikuwa analima imekaaje? Anyway Rest in heaven katoto πŸ’”
Wanatafuta namna ya kukwepa eti baadae ionekane alidhani ni mnyama hatari kumbe ni binafamu analima, sasa haya mtoto ni miaka 4
 
kifungo Cha maisha kitawatosha.
Askari hawajui sehemu na muda Gani wa kutumia bunduki ni shida hyo.
 
Will there be a trial for excessive use of force against unarmed civilian? What precautions must be taken by law enforcement officers in there prescribed duties? What are the protocol for trespassing a conserved area?

My wish is to see justice prevail for the loss of life of a child who's dreams were shattered too soon.
 
Huyu naye khee! Kumbe humu kuna wanaojifunza sheria kwa kutumia maoni yetu, eti wanakwepa ada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…