Tabora: Karani wa Sensa Ajinyonga

Tabora: Karani wa Sensa Ajinyonga

Kuna mwingnmine nasikia kaibiwa tablet huko Unga Limited
 
Elimu baada ya kifo itolewe.Watu wanachukulia rahis kifo.Wanafikiri wakishakufa wanakua wamesolve tatizo/matatizo.Elimu akhera muhimu Sana.
Hakipo icho kitu ni wajanja fulani walioamua kutengeneza hiyo dhana ili kudhibiti na kutawala watu wengine kupitia uoga
 
Hakipo icho kitu ni wajanja fulani walioamua kutengeneza hiyo dhana ili kudhibiti na kutawala watu wengine kupitia uoga
Unavyofikiria ukifa unaota tena kama muhindi? Kiongozi kifo sio rahisi rahis kama watu wanavochukulia.Hujiulizi kwanini wengine wanakutwa Hadi wamejinyea/kujikojolea?
 
Elimu baada ya kifo itolewe.Watu wanachukulia rahis kifo.Wanafikiri wakishakufa wanakua wamesolve tatizo/matatizo.Elimu akhera muhimu Sana.
mkuu huko unapopasemea umeshawahi kwenda ??.au kuna waliowahi kufa wakafufuka ndo wakaja na elimu akhera.


kuelezea kitu ambacho ww mwnyew hujawah fika huo ni uhuni tu.
 
Hapa ukichimba sana lazima mwanamke anahusika,, wanawake mtafika mbinguni mmechoka sana
 
pata pesa tabia yako ijulikane, atakuwa kahonga ya semina alaf kapigwa kibti
 
Unavyofikiria ukifa unaota tena kama muhindi? Kiongozi kifo sio rahisi rahis kama watu wanavochukulia.Hujiulizi kwanini wengine wanakutwa Hadi wamejinyea/kujikojolea?
Ukifa ndio umepotea hivyo Hii ndio point yangu. Hakuna cha akhera wala nini hizo ni heresy kama za Alfu lela u lela na hadithi za Abunuwasi

maisha ni struggle hata ng'ombe huwa anajinyea akiwa anakufa
 
Back
Top Bottom