Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Karani Wa Sensa Ajinyonga Kwa Kamba Ya Katani Huko Mkoani Tabora
Na Kuacha Ujumbe Ulisomeka Ni Wivu Wa Mapenzi
Ngoswe itakuwa kazama mapenzini kasahau kazi aliyotumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karani Wa Sensa Ajinyonga Kwa Kamba Ya Katani Huko Mkoani Tabora
Na Kuacha Ujumbe Ulisomeka Ni Wivu Wa Mapenzi
Imepotea au imejipoteza? Angerudusha kishkwambi kwanza asikwamishe zoezi la sensa wengine hatujahesabiwa[emoji16][emoji16] mkuu...roho ya mtu imepotea wewe unawaza kishkwambi
Basi tumtakie safari njema kikubwa amesema asilaumiwe ntuMmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa jina la Edmund Zakayo.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Buchenjegele amejinyonga usiku wa kuamkia siku ya Sensa huku akiacha ujumbe asilaumiwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo.
Baada ya tukio hilo la kujinyonga, vifaa vyote vya zoezi la Sensa alivyokuwa amekabidhiwa marehemu alipewa karani mwingine ambaye alianza kazi yake mara moja.
Chanzo: UTV
Mbona picha ya bro Edmund inanitia shaka, huyu anayeonekana ni mama mtu mzima sana na sijui kama angeiweza mizunguuko.Mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa jina la Edmund Zakayo.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Buchenjegele amejinyonga usiku wa kuamkia siku ya Sensa huku akiacha ujumbe asilaumiwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo.
Baada ya tukio hilo la kujinyonga, vifaa vyote vya zoezi la Sensa alivyokuwa amekabidhiwa marehemu alipewa karani mwingine ambaye alianza kazi yake mara moja.
Chanzo: UTV
Soma kisha andika.Ameharibu/amepoteza kishikwambi, amekosa/amepunjwa Malipo au amesakamwa sana na vitisho ama...
Pengine majamaa yamempora pesa zake kisha yakasuka mchongo
Amerudisha hapo.mapenzi ,Stress vimefanya yake maan kama ajira amepata tena mbili ya ualimu na Sensa.Weka nyama nyama basi kishkwambi amerudisha??
Mapenzi yamekuondoa mwamba, labda atakuwa alienda kuhesabisha akakuta mkewe anahesabiwa na njembaAmerudisha hapo.mapenzi ,Stress vimefanya yake maan kama ajira amepata tena mbili ya ualimu na Sensa.
Tabia ya kuweka reserves kweny kazi yoyote yenye pesa ni nzuri katika kufanikisha kazi,Ila nimbaya kwa washiriki wa kazi yenyewe.Mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa jina la Edmund Zakayo.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Buchenjegele amejinyonga usiku wa kuamkia siku ya Sensa huku akiacha ujumbe asilaumiwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo.
Baada ya tukio hilo la kujinyonga, vifaa vyote vya zoezi la Sensa alivyokuwa amekabidhiwa marehemu alipewa karani mwingine ambaye alianza kazi yake mara moja.
Chanzo: UTV
Huyo kauwawa, asilaumiwe mtu ndio nini sasa, huyo asiyetaka kulaumiwa ndie kaandika huo ujumbe, uchunguzi ufanyikeMmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa jina la Edmund Zakayo.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Buchenjegele amejinyonga usiku wa kuamkia siku ya Sensa huku akiacha ujumbe asilaumiwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo.
Baada ya tukio hilo la kujinyonga, vifaa vyote vya zoezi la Sensa alivyokuwa amekabidhiwa marehemu alipewa karani mwingine ambaye alianza kazi yake mara moja.
Chanzo: UTV
Aliyepewa nafasi yake achunguzwe, (kidding)Mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa jina la Edmund Zakayo.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Buchenjegele amejinyonga usiku wa kuamkia siku ya Sensa huku akiacha ujumbe asilaumiwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo.
Baada ya tukio hilo la kujinyonga, vifaa vyote vya zoezi la Sensa alivyokuwa amekabidhiwa marehemu alipewa karani mwingine ambaye alianza kazi yake mara moja.
Chanzo: UTV
Wakikujibu tafadhali nibipAlipewa mafunzo saa ngapi au walikuwa na makarani wa akiba
🤣Wakikujibu tafadhali nibip
Wenzake wamekaa darasani wiki tatu.Wakikujibu tafadhali nibip
🤣🤣🤣🤣🤣Jamani hii sensa mwengine kakwamishwa ndani hajatoka anauchezea tu mti ngozi
Huyo si mtu. Kajivika mwili tu[emoji16][emoji16] mkuu...roho ya mtu imepotea wewe unawaza kishkwambi