Tabora: Maiko Jacobo amuua baba yake kwa shoka kisa imani za kishirikina

Hiyo mikoa; Tabora, Shinyanga, Kigoma, Rukwa sijui lini watu wake watabadilika na kuachana na hizi imani za giza/ushirikina.

Viongozi wetu wa dini wanapaswa wafanye jitihada katika maeneo haya ili kuondoa imani hizi ambazo mwisho wake ni mauaji.
Bila kuiweka Arusha hii list Ni batili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…