DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ingieni barabarani muikomboe nchi yenu
Inasikitisha kinachotokea Tabora hata vyombo vya habari havitilii maanani. Pana siku maduka eneo la soko kuu yalifungwa na pakawa na kikao asubuhi tu.
Kilichonishangaza habari hiyo ikatoka kesho yake tena saa mbili usiku.
Hii ya mafuta ya gari imetokea alhamisi lakini sijaona hata gazeti likiiandika kwa jana na leo. Sifahamu kama habari hii ilisomwa kwenye TVs kwani kama kawaida TANESCO waliuchukua umeme wao.
 
Back
Top Bottom