Kwa watu wenye akili za kijinga kama hizi acha nchi iendelee tu kuwa masikini yaani inasikitisha mno kwa mtu mwenye akili timamu kutetea hiliMitanzania ni mijitu flani mijinga mijinga hivi.
Huyu kasaidia kuokoa maisha ya watu wasipimwe na kutibiwa bila vifaa sahihi lakini hapa tunamshambulia aliyerekodi utadhani kafanya kosa kubwa wakati katusaidia kuumbua ujinga unaoendelea huko kwenye hospital za umma.
Hatufiki kokote kwa akili hizi, watu duniani huko wapo serious hadi Rais msitaafu anashitakiwa na kufungwa jela
Kanoko lakini ndio safi kamuumbua muhuni.Hamna jamaa kanoko ako, saut yake tu ina sound kinoko noko
Kwasababu wewe ni lizembe kazini lisiloweza kazi.Alie rekodi kanichukixa
Jitu zembe kama wewe ni kushughulikiwa tu.Takataka.
Acheni ujuaji jamani, mngejua kinachofanyika chini ya kapeti msingemtetea huyo mtu wa Lab. Mfamasia yuko sahihi vifaa vikiwa vimeExpire vinatumika hadi siku 90 yaani miezi 3 toka expire date na hakuna madhara wala shida yoyote kikubwa usahihi wa Vipimo. Anyway ukivuliwa nguo chutama maisha yaende.Madhara ya kufanya kazi vibaya,kwa mazoea na kiburi.Hizo dawa angekuwa ni mdogo wake asingempatia lkn watu baking dada yuko tayar wala hana shida.Hongera sana kwa aliyerekodi,huyu awajibishwe tu kwakwel maana watu wa dizaini hii ndio wanaosababisha vifo mahospital tena kwa makusudi
Kwasababu wewe ni lizembe kazini lisiloweza kazi.
Na si ajabu unavaa hirizi kiunoni wewe.
Kwa hiyo expiry date huwa wanaandika kujiturahisha tu.Acheni ujuaji jamani, mngejua kinachofanyika chini ya kapeti msingemtetea huyo mtu wa Lab. Mfamasia yuko sahihi vifaa vikiwa vimeExpire vinatumika hadi siku 90 yaani miezi 3 toka expire date na hakuna madhara wala shida yoyote kikubwa usahihi wa Vipimo. Anyway ukivuliwa nguo chutama maisha yaende.
Sawa mkuu 😂😂😂👋👋Kichwa kama prophylaxis.
Usitubabaishe na hiyo misamiati uchwara ya kizungu uliyokariri vyuo vya kata.
Ukibainika kufanya upuuzi kazini utashughulikiwa tu.
Tuna wataalamu wengi mtaani wasio na ajira. Utaondoshwa tu chap chap ukafanye uhuni kwa mmeo huko na maisha yataendelea.
Haijalishi ndugu iwe test au iwe dawa chochote kile ambacho huwezi kumfanyia ndugu yako let's say (mama )usifanyie watu wengine kwa sababu tu hujali madhara yakeSio dawa jamani ni zile test za malaria
Jitu zembe kazini linalotaka kudekezwa! We thubutu!Mjinga mjinga tu
Unakuta hyo boss mwenyewe anamla hyo nesiUshamba sana
Unarekodi ya nini?
Upost ili apatwe na nin?
Matatizo yenu wasilisha kwa boss
Mnachosha!
Jitu zembe kazini linalotaka kudekezwa! We thubutu!
Tutakushughulikia.
Jitu zembe kazini linalotaka kudekezwa! We thubutu!
Tutakushughulikia.
Test na weweSio dawa na wewe ni rapid rest ya malaria
Kwahiyo na wewe unaona ni sawa wajawazito wapimwe na vipimo feki,,,sisi watanzania sijui tukoje ,,hilo ni tukio moja lililojulikana vipi ambayo hayajulikani ,,na watu wanagapi wameathirika na hivi vipimo feki,, Sometimes tuwe serious kama nchi...Uyo wa kiume chokooooo sana
Fala kwa kuwa kaanika uozo wenu mnaofanya huko maofisini kwenu?Huyo anaejiita mtaalam wa maabara mshamba sana, yaan bonge la fala
We ndio msenge kwa kutetea uovu wa huyo nurseHuyo jamaa ana tabia za kike. Unarekodi nini sasa,kwani hawana incharge au menejiment ya kujadili jambo. Msenge huyo
Hiv na wenzetu ulaya ndo wako hivi? Mijitu inatetea hii issue.inaonesha ni aina gan ya watumishi tulioaangeenda kwenye mamlaka husika sio kurekod hapo hajatumia busara cos uyo dada uenda wamepishana kiswahili so jamaa katumia udhaifu wakeKwahiyo na wewe unaona ni sawa wajawazito wapimwe na vipimo feki,,,sisi watanzania sijui tukoje ,,hilo ni tukio moja lililojulikana vipi ambayo hayajulikani ,,na watu wanagapi wameathirika na hivi vipimo feki,, Sometimes tuwe serious kama nchi...