BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Kwa hiyo wewe umeona TU Kosa la aliemrekodi.... Ila Kosa la nayetoa Dawa Zilizoexpire Kwa Mama Wajawazito hulioni???Aliemrekodi kafanya kosa la kimaadili.
Sitetei lugha yake Ila mpaka ana mrekodi Kuna mambo nyuma ya pazia,
Km ushahidi kulikua na zaidi ya mtu mmoja. Angekwenda kwa inchaji.
Lengo la kaka ni kumharibia huyo dada.
Km Mimi ndo nasimamia nidhami wote nawapa adhabu sawa yaani onyo Kali au pamoja na kuwahamisha wote wawili .
Inawezekana pia alimpandisha jazba ili amrekodi.
Pia Kuna utaratibu wa kutoa taarifa au malalamiko kwa. Maandishi na kwa mdomo.
Pia Kuna bodi za kitaalamu
Haishangazi. Ndivyo tulivyo Watanzania[emoji35][emoji35]