Tabora: Mwanajeshi mstaafu na Mke wa Mtu wakutwa wamefariki Chumbani

Kifo cha Aibu!!
 
Kuna mawili. Kuuliwa wote wawili na mtu kutoka nje au mmoja kumuua mwingine na kujimaliza.
Inavyosemekana ni uchawi, mwenye mke alienda kuuliza kwenye hiyo nyumba jamani mke wangu yuko hapa akaambiwa hayupo basi akamua kuondoka(mwenye mke alikuwa keshashtukia mchezo kwanza mjeshi anamgongea)
 
Rip mstaafu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…