Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yep nimekuelewaAibu kwa wote, kwanini mume kashindwa kusimamia majukumu yake??
Km mke jeuri si angemwacha akafie mbele huko..!!
This is the best death ever...yaani mnakufa mkiwa mnagegedana....🤣🤣🤣🤣🤣Inzi wamefia kwenye kidonda...
Mambo yako haya mkuu, kwenye nyuzi kama hizi lazima uwepo...This is the best death ever...yaani mnakufa mkiwa mnagegedana....🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio nyuzi zangu mwanawane...kila leo zinathibitisha nisemalo kiwa mbususu hizi ni za kushare hamna yako weye peke🤣🤣🤣🤣🤣Mambo yako haya mkuu, kwenye nyuzi kama hizi lazima uwepo...
mbona umefunga pm mama PKwa hapo kapuyanga
Kifo cha Aibu!!Mwanajeshi Mstaafu Petro Masali amekutwa amefariki dunia yeye na mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Marrysiana Edward, wakiwa katika hali ya faragha kwenye moja ya chumba cha nyumba ya aliyekuwa mwanajeshi huyo, katika Kata ya Ipuli Manisipaa ya Tabora.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku moja baada ya mwanamke huyo kuondoka nyumbani kwa mume wake tangu Novemba 4, mwaka huu bila kuaga na kushindwa kurejea.
View attachment 3170669
Mazishi yamefanyika leo saa kumiNi wapi, kamanda gani wa polisi wa eneo hilo amethibitisha?
Inavyosemekana ni uchawi, mwenye mke alienda kuuliza kwenye hiyo nyumba jamani mke wangu yuko hapa akaambiwa hayupo basi akamua kuondoka(mwenye mke alikuwa keshashtukia mchezo kwanza mjeshi anamgongea)Kuna mawili. Kuuliwa wote wawili na mtu kutoka nje au mmoja kumuua mwingine na kujimaliza.
Ila wewee JF tenaAibu kubwa kwa mume wa marehemu sijui sura yake atawatazama vipi watakaokuja kumpa pole msibani?!!
Halafu ukute alikuwa anajisifu anampelekea moto mke wake huku JF 😜
Ifungue🥹mbona umefunga pm mama P
Rip mstaafu...Mwanajeshi Mstaafu Petro Masali amekutwa amefariki dunia yeye na mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Marrysiana Edward, wakiwa katika hali ya faragha kwenye moja ya chumba cha nyumba ya aliyekuwa mwanajeshi huyo, katika Kata ya Ipuli Manisipaa ya Tabora.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku moja baada ya mwanamke huyo kuondoka nyumbani kwa mume wake tangu Novemba 4, mwaka huu bila kuaga na kushindwa kurejea.
View attachment 3170669
andika hapo 'ifungue'Ifungue🥹