skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,383
Kumbe koboko ni nyoko eeh?Ulizia vzr hbr zake
Huwa anagonga tu zaidi ya mara 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe koboko ni nyoko eeh?Ulizia vzr hbr zake
Huwa anagonga tu zaidi ya mara 1
🤣🤣🤣 Tanzania sihamiView attachment 2060887
Nyoka aina ya koboko anadaiwa kuweka kambi katika eneo la Mlimani City kata ya Ng'ambo manispaa ya Tabora ambapo amegeuka kuwa tishio la maisha kwa wananchi wa mtaa huo.
Katika jitihada za kumuondoa nyoka huyo wananchi walimleta mganga wa kienyeji ambaye alitamba kumuondoa nyoka huyo.
Mganga huyo Hassan Jumanne anasema alipanda juu ya mti wa muembe yalipo makazi ya nyoka huyo akiwa na chungu chenye uji wa moto ambao nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.
Uongozi wa kata hiyo umeanza jitihada za kuwasiliana na maliasili ili kumuondoa nyoka huyo.
Chanzo cha habari: CG FM Radio
Labda ana dawa ya kuzuia madhara makubwa ya koboko![emoji23][emoji23][emoji23]Nitaamini kama ni koboko nikipewa taarifa za huyo mganga huko alipo,sitegemei kusikia yupo hai maana mziki wa huyo bwana ni weka mbali na watoto.
Koboko ana uwezo wa kuua hata watu/ ng'ombe 20 na meno yakawa active!Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Aisee hiyo nomaHuyo Koboko anauwezo wa kugonga maranyingi sana na sumu yake ni kali sana akikugonga..huchukui round lazima usepe
Anaweza kugonga watu 12 kwa mpigoUlizia vzr hbr zake
Huwa anagonga tu zaidi ya mara 1
hiyo nyoka ni balaa inaweza angusha familia nzima mkileta utani.Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Basi hana madhara sana kama anavyopigiwa chapuo, kang'ata mtu mara nne na bado akawa na uwezo wa kukimbia baada ya kuzinduka?Mkuu Unamjua koboko wewe? Yule aking'ata haachi meno Bali sumu yeke hupita kwenye meno yake kwenda kwa mjeruhiwa,na anao uwezo wa kungata zaidi ya Mara kumi.
nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Hanusuriki huyo,lazima afeMganga kanusurika
Kwa sumu ya huyo nyoka mganga kaamua kwenda kwenda kufia mbaliMganga kanusurika
Kukariri kubaya.Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?