Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Koboko anapiga hata mara ishirini, na zote anatoa sumuKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koboko anapiga hata mara ishirini, na zote anatoa sumuKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Koboko haachi jino ng'oo kama ulikuwa hujui, anaweza kuvamia zizi la ng'ombe akagonga wote na kuua. Hii sifa ndiyo inayomfanya awe nyoka hatari kuliko wote Afrika. Tena anaweza kugonga bila kuacha jeraha ila ukizubaa huponiKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Ukiona hivyo huyo mganga kajizatiti ndiyo maana anafanya kazi hizoBasi hana madhara sana kama anavyopigiwa chapuo, kang'ata mtu mara nne na bado akawa na uwezo wa kukimbia baada ya kuzinduka?
Au kinga ya mtaalam na yenyewe haikua haba?
Kipindi chao wanaedit ujue ndiyo maana siyo liveView attachment 2060935
Hawa ndo kiboko ya nyoka
Duhhuyu nyoka ukimjeruhi huwa anapenda kukaa eneo hilo ili alipe kisasi na anajua kujirusha akakugonga hata mita mbili juu.
Waganga hao wana dawa zao wamechanja ndiyo maana haoni hatari kujitoa mhangq kufika makazi yake yalipoLabda Huyo koboko ni wa mchongo yaani mganga agongwe mara nne alafu bado hupo hai?
Au labda ni artificial,maana kama nyoka amefikia kugida uji wa moto kama maji ya baridi huyo tutaamini ni wa kawaida mkuu??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!Labda ana dawa ya kuzuia madhara makubwa ya koboko![emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo eneo kasha tawala nahilo koboko ni jike walipe utulivu limalize kutaga vingenevyo waandae rambi rambi......huyu nyoka ukimjeruhi huwa anapenda kukaa eneo hilo ili alipe kisasi na anajua kujirusha akakugonga hata mita mbili juu.
View attachment 2060887
Nyoka aina ya koboko anadaiwa kuweka kambi katika eneo la Mlimani City kata ya Ng'ambo manispaa ya Tabora ambapo amegeuka kuwa tishio la maisha kwa wananchi wa mtaa huo.
Katika jitihada za kumuondoa nyoka huyo wananchi walimleta mganga wa kienyeji ambaye alitamba kumuondoa nyoka huyo.
Mganga huyo Hassan Jumanne anasema alipanda juu ya mti wa muembe yalipo makazi ya nyoka huyo akiwa na chungu chenye uji wa moto ambao nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.
Uongozi wa kata hiyo umeanza jitihada za kuwasiliana na maliasili ili kumuondoa nyoka huyo.
Chanzo cha habari: CG FM Radio
na mbaya zaidi yeye hajui nani amemjeruhi kwa hiyo yoyote anaepita ni halali yake.Hilo eneo kasha tawala nahilo koboko ni jike walipe utulivu limalize kutaga vingenevyo waandae rambi rambi......
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Fasihi simulizi.Story ya kubumba...labda kama tumepigwa fasihi.
Koboko anapiga hata mara ishirini, na zote anatoa sumu
Huyu katika nyoka wote namuheshimu sana