unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
Sasa usipende kukurupuka mkuu! Utauawa ukiwa ndani!Mkuu wewe shenzi sana hahaha wote tumeingia chaka...
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa usipende kukurupuka mkuu! Utauawa ukiwa ndani!Mkuu wewe shenzi sana hahaha wote tumeingia chaka...
Hivi watu hamuelewi? Mbona Wa TZ mnakuwa majinga na mbumbumbu kiasi hiki? Hilo ni fumbo, na si stori kama mnavyodhani. That's a code, wachache mno wameelewa. Rudia kusoma kwa makini.Duuuuh mpige picha nyoka huyo
That's a code, not as real story as you think, few understood it!Yule ni Neurotoxicity in nature sitegemei mganga akiwa hai hadi muda huu..
Hahahaaaa muku siyo mchezo Mkuu. Nimecheka sana.Mganga ana muku huyo😅
Sasa mtu apigwe clicks 4 halafu azimie na kusepetuka😅Hahahaaaa muku siyo mchezo Mkuu. Nimecheka sana.
Watanzania siasa zinawaharibu sana 😀😀That's a code, not as real story as you think, few understood it!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona wanitusi ? Code zake zinaeleweka mbona unanikazia ? Tunaendeleza code tu kaa kwa patternHivi watu hamuelewi? Mbona Wa TZ mnakuwa majinga na mbumbumbu kiasi hiki? Hilo ni fumbo, na si stori kama mnavyodhani. That's a code, wachache mno wameelewa. Rudia kusoma kwa makini.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Unampa heshima shetani??![emoji1787]
Hivyo nyoka alikuwa kwenye harakati za kisiasa?
hapa dar nipo mahali fulani kuna siku nasikia vijana wanasema wanaenda mlimani city nikapata tabu kulingana na namna walivyo.Mlimani City kata ya ng'ambo![emoji848]
kwa huko polini ana wababe ila sio against human.
kuna vidudu vipo kama nguchiro hivi hata vigongwe na huyu nyoka ingawa vinajua kukwepa lkn havifi.
Fasihi simuliziView attachment 2060887
Nyoka aina ya koboko anadaiwa kuweka kambi katika eneo la Mlimani City kata ya Ng'ambo manispaa ya Tabora ambapo amegeuka kuwa tishio la maisha kwa wananchi wa mtaa huo.
Katika jitihada za kumuondoa nyoka huyo wananchi walimleta mganga wa kienyeji ambaye alitamba kumuondoa nyoka huyo.
Mganga huyo Hassan Jumanne anasema alipanda juu ya mti wa muembe yalipo makazi ya nyoka huyo akiwa na chungu chenye uji wa moto ambao nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.
Uongozi wa kata hiyo umeanza jitihada za kuwasiliana na maliasili ili kumuondoa nyoka huyo.
Chanzo cha habari: CG FM Radio
Haya Mkuu The river between.....
Siyo kila nyoka anatoa meno aking'ata. Koboko hatoi meno, anaweza akagonga hata watu 10. Huyu nyoka ni hatari sana (very aggressive).Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapa dar nipo mahali fulani kuna siku nasikia vijana wanasema wanaenda mlimani city nikapata tabu kulingana na namna walivyo.
baada ya kuondoka nikamuuliza mtu jirani kuna duka kuwa hawa wanafanya nini mlimani city?
kumbe kuna eneo lina kapori kidogo ndio wanaliita hivyo hulitumia kwenda kupata weed wamelibariki kwa jina hilo.