Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Eeeh Koboko Jike....Mlimani city tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh Koboko Jike....Mlimani city tena
Ha ha ha ha ha !!Huyo nyoka bila kupewa maelekezo na Kangi Lugola hajatoka hapo
Koboko meno hayakatiki.Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Huu ndio ujinga na umasikini wetuView attachment 2060887
Nyoka aina ya koboko anadaiwa kuweka kambi katika eneo la Mlimani City kata ya Ng'ambo manispaa ya Tabora ambapo amegeuka kuwa tishio la maisha kwa wananchi wa mtaa huo.
Katika jitihada za kumuondoa nyoka huyo wananchi walimleta mganga wa kienyeji ambaye alitamba kumuondoa nyoka huyo.
Mganga huyo Hassan Jumanne anasema alipanda juu ya mti wa muembe yalipo makazi ya nyoka huyo akiwa na chungu chenye uji wa moto ambao nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.
Uongozi wa kata hiyo umeanza jitihada za kuwasiliana na maliasili ili kumuondoa nyoka huyo.
Chanzo cha habari: CG FM Radio
Hivi watu hamuelewi? Mbona Wa TZ mnakuwa majinga na mbumbumbu kiasi hiki? Hilo ni fumbo, na si stori kama mnavyodhani. That's a code, wachache mno wameelewa. Rudia kusoma kwa makini.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
hujui hirizi ni bima ya afya🤣Koboko kamgonga mganga mara nne kisha mganga akazimia na kuzinduka? Huyo mganga ana anti-venom mwilini ama nini hiki
Sorry kwa tusi mkuu!Mkuu mbona wanitusi ? Code zake zinaeleweka mbona unanikazia ? Tunaendeleza code tu kaa kwa pattern
Mkuu huyu nyoka ni tofauti na wengine. Nyoka Walio wengi hugonga adui mara 1 lakini huyu anaweza kugonga adui Wake Hadi mara 100. Pia baadhi ya nyoka hupambana tu pale wanapochokozwa lakini huyu akikuona tu analianzisha timbwili la asha ngedele bila kujali una madhara kwake na huwezi kumtoroka kwani anasifika kwa Kasi ya kukimbia.Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Daah umekosea kutukana! Ila anyway, acha inyeshe tuone panapovuja!Do you have to swear
Hivi hata kama ni code anaongelewa mama yako kama wewe umeelewa kwanini usiliweke wazi
Unajiona mjanja kwa kutukana watu usiowajua au unatafuta beans humu anaejua kupiga maana hamchelewi kuanza kuomba mchapwe
Anyway endelea kutafuta bwana
aliekwambia koboko anakungata na meno ni nani hicho kifaa kinainject sumu kama sindano vile na kwa kukuhakikishia unaweza ukachezea bite kama 10 hivi za fasta fasta ndo ajiskie kuchoka..Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Kwa hiyo kwa kifupi ni nyoko mwenye uadui na mwanadamu na pia ni nyoka mchokozi huyo hafai hata kufugwa kwa hali hiyoMkuu huyu nyoka ni tofauti na wengine. Nyoka Walio wengi hugonga adui mara 1 lakini huyu anaweza kugonga adui Wake Hadi mara 100. Pia baadhi ya nyoka hupambana tu pale wanapochokozwa lakini huyu akikuona tu analianzisha timbwili la asha ngedele bila kujali una madhara kwake na huwezi kumtoroka kwani anasifika kwa Kasi ya kukimbia.
Mkuu, unamaanisha story ya mchongo??😊😊😊😄😄Story ya kubumba...labda kama tumepigwa fasihi.
Mkuu Unamjua koboko wewe? Yule aking'ata haachi meno Bali sumu yeke hupita kwenye meno yake kwenda kwa mjeruhiwa,na anao uwezo wa kungata zaidi ya Mara kumi.
DuhBlack mamba ana gonga mara tisa
Story ya mchongo hii....Mkuu, unamaanisha story ya mchongo??😊😊😊😄😄
Aisee yaani hata Kama watu wamelala yeye anagonga tu ajiulizi?Sio kila wakati nyoka hubakiza fangs au meno kwenye mwili bali meno hubaki kama tu yalikuwa yamechoka au ugumu wa ngozi ya mnyama
Ila huwa yanaota tena na tena
Kuhusu black mamba huyu ni shetani na ana hasira za kipumbavu sana
Ana uwezo wa kugonga hata watu kumi kama wamelala mahali pamoja
Huyu katika nyoka wote namuheshimu sana