t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Koboko black mamba ana uwezo wa kugonga hadi mara 11 na mara zote atatoa fatal venom,
Meno ya koboko ni tofauti na nyoka wengine , ya koboko yama matumdu kama syringe ,sumu inapita humo, koboko mmojq ana uwezo wa kuuwa mbuzi kadhaa kwa mara moja