Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Fasihi kazini.Story ya kubumba...labda kama tumepigwa fasihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fasihi kazini.Story ya kubumba...labda kama tumepigwa fasihi.
Fasihi kazini.leo sizielewi nyuzi za hapa JF.Mganga kaponaje kwa sumu ya koboko au ndiyo uchawi?
Mbio? Mbio zipi zikuokoe, we ogopa umeshaambiwa black mamba (koboko) ni nyoka mwenye kasi kali duniani sio Tabora dunianiView attachment 2060977
ukikutana na hii kitu jaribu mbio labda ndio zinaweza kukuokoa tofauti na hapo ukianza kutafuta mawe au fimbo ni labda mfe wote au ufe wewe.
Huu uongo alikuambia naniKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
😁😁😁😁Itakua sio koboko aka black mamba nyie black mamba ngoja nicheke kwa sauti mganga hajigangi kwanini apoteze fahamu, kashindwa kujinusuru [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mkuu zinapatikana wapi hizo drones aisee? Bei yake ikoje?Mbinu ya tatu tumieni drone zile za kunyunyiza dawa zina tank la kuweka dawa jaza mafuta ya taa,msake kwa drone alipo weka dawa za kumvutia asogee karibu Ili umsspray mafuta taa.
Drones pia zinatumika kuwafukuza wanyama waharibifu mashambani mfano tembo,na walao nyasi pia majumbani mfano simba,chui,nk.
Pia unaweza zitumia kupambana na wafugaji walishao mifugo kwenye mashamba unawaspray pilipili au maji washa au upupu.
# Tumepewa akili tuwatawale wanyama na vyoote vikaavyo duniani ikiwemo majini yasiyoonekana.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mkuu tumefungwa na fasihi ila bado narudia na kubaki na msimamo wa kuendelea kumtafsiri black mamba nyie huyu nyoka hapana aisehh ogopa anaweza nasi chini ya gari likiwa kwenye mwendo ah,Fasihi kazini.leo sizielewi nyuzi za hapa JF.
Koboko au Black mamba, huwa hang'oki meno Kama nyoka wengine. Yeye huuma kwa kuchoma na kuchomoa kama sindano. Na ana uwezo wa kuuma hata Mara 14, na sumu yake iko kama mafuta ya taa, inasambaa haraka Sana.Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Kweli haya ni maarifaMbinu ya tatu tumieni drone zile za kunyunyiza dawa zina tank la kuweka dawa jaza mafuta ya taa,msake kwa drone alipo weka dawa za kumvutia asogee karibu Ili umsspray mafuta taa.
Drones pia zinatumika kuwafukuza wanyama waharibifu mashambani mfano tembo,na walao nyasi pia majumbani mfano simba,chui,nk.
Pia unaweza zitumia kupambana na wafugaji walishao mifugo kwenye mashamba unawaspray pilipili au maji washa au upupu.
# Tumepewa akili tuwatawale wanyama na vyoote vikaavyo duniani ikiwemo majini yasiyoonekana.
Hivyo viganja vya mikono utamshikaje sasa huyo nyoka?Ngoja niwape mbinu ya kumkamata koboko,waende police kitengo cha mbwa au kwa yeyeto mwenye yale mavazi ya kufundishia mbwa unayavaa,plus buti, helmet.kisha unamfata alipo koboko au nyoka yeyeto mwenye sumu unamkamata Akigonga kichwa anakutana na helmet, Akigonga mwilini ukutana na nguo Akigonga mguuni ukutana na buti,akitema mate ukutana na kioo,mikononi umevaa gloves za boxing.
Kama meno ya mbwa ayapenyi kwenye suti hiyo sembuse ya snake
Mbinu ya ndoo na uji ya kizamani mtakula snake bites za kutosha.
View attachment 2061048
Kumbuka huyo ni mganga sio raia mwemaKoboko akung'ate mara nne na uendelee Kuishi? Huyo atakuwa Bokokobo la kibisa.
Tusubiri tafsiri ya fasihi hii.muda haudanganyi.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mkuu tumefungwa na fasihi ila bado narudia na kubaki na msimamo wa kuendelea kumtafsiri black mamba nyie huyu nyoka hapana aisehh ogopa anaweza nasi chini ya gari likiwa kwenye mwendo ah,
😁😁😁Kumbuka huyo ni mganga sio raia mwema
😁😁😁😁😁Koboko au Black mamba, huwa hang'oki meno Kama nyoka wengine. Yeye huuma kwa kuchoma na kuchomoa kama sindano. Na ana uwezo wa kuuma hata Mara 14, na sumu yake iko kama mafuta ya taa, inasambaa haraka Sana.
Ukiona kitu hiyo, kimbia mapema usjaribu kukabiliana nayo.
Sio wote wanaon'goka meno,jamii ya koboko kwenye meno kuna matobo ambayo hupitisha sumu,nyoka wa aina hii wanaweza gonga hata watu 20Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
😂😂😂 tumuulize mzee wa vilinge, kwenye ulimwengu wa roho ni nini hiki??Koboko kamgonga mganga mara nne kisha mganga akazimia na kuzinduka? Huyo mganga ana anti-venom mwilini ama nini hiki
we hujasikia nyoka mwenyewe ni mwenyeji wa MLIMANI CITY?Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?