Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

Itakua sio koboko aka black mamba nyie black mamba ngoja nicheke kwa sauti mganga hajigangi kwanini apoteze fahamu, kashindwa kujinusuru [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Halafu black mamba hapigi kichwani tu mganga kabeba story za uongo za utotoni tulikua tunadanganyana sana mambo ya kujitwika uji wa moto eti atapiga kichwani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] weeee koboko anatia jino popote na sumu yake ikiupata jichoni upofu waziwazi mambo ya story za zamani mnaleta mbinu zenu za ki old fashion mtajuta
 
Mbinu ya tatu tumieni drone zile za kunyunyiza dawa zina tank la kuweka dawa jaza mafuta ya taa,msake kwa drone alipo weka dawa za kumvutia asogee karibu Ili umsspray mafuta taa.
Drones pia zinatumika kuwafukuza wanyama waharibifu mashambani mfano tembo,na walao nyasi pia majumbani mfano simba,chui,nk.
Pia unaweza zitumia kupambana na wafugaji walishao mifugo kwenye mashamba unawaspray pilipili au maji washa au upupu.
# Tumepewa akili tuwatawale wanyama na vyoote vikaavyo duniani ikiwemo majini yasiyoonekana.
Mkuu zinapatikana wapi hizo drones aisee? Bei yake ikoje?
 
Fasihi kazini.leo sizielewi nyuzi za hapa JF.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mkuu tumefungwa na fasihi ila bado narudia na kubaki na msimamo wa kuendelea kumtafsiri black mamba nyie huyu nyoka hapana aisehh ogopa anaweza nasi chini ya gari likiwa kwenye mwendo ah,
 
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Koboko au Black mamba, huwa hang'oki meno Kama nyoka wengine. Yeye huuma kwa kuchoma na kuchomoa kama sindano. Na ana uwezo wa kuuma hata Mara 14, na sumu yake iko kama mafuta ya taa, inasambaa haraka Sana.
Ukiona kitu hiyo, kimbia mapema usjaribu kukabiliana nayo.
 
Mbinu ya tatu tumieni drone zile za kunyunyiza dawa zina tank la kuweka dawa jaza mafuta ya taa,msake kwa drone alipo weka dawa za kumvutia asogee karibu Ili umsspray mafuta taa.
Drones pia zinatumika kuwafukuza wanyama waharibifu mashambani mfano tembo,na walao nyasi pia majumbani mfano simba,chui,nk.
Pia unaweza zitumia kupambana na wafugaji walishao mifugo kwenye mashamba unawaspray pilipili au maji washa au upupu.
# Tumepewa akili tuwatawale wanyama na vyoote vikaavyo duniani ikiwemo majini yasiyoonekana.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Kweli haya ni maarifa
 
Ngoja niwape mbinu ya kumkamata koboko,waende police kitengo cha mbwa au kwa yeyeto mwenye yale mavazi ya kufundishia mbwa unayavaa,plus buti, helmet.kisha unamfata alipo koboko au nyoka yeyeto mwenye sumu unamkamata Akigonga kichwa anakutana na helmet, Akigonga mwilini ukutana na nguo Akigonga mguuni ukutana na buti,akitema mate ukutana na kioo,mikononi umevaa gloves za boxing.
Kama meno ya mbwa ayapenyi kwenye suti hiyo sembuse ya snake
Mbinu ya ndoo na uji ya kizamani mtakula snake bites za kutosha.

View attachment 2061048
Hivyo viganja vya mikono utamshikaje sasa huyo nyoka?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mkuu tumefungwa na fasihi ila bado narudia na kubaki na msimamo wa kuendelea kumtafsiri black mamba nyie huyu nyoka hapana aisehh ogopa anaweza nasi chini ya gari likiwa kwenye mwendo ah,
Tusubiri tafsiri ya fasihi hii.muda haudanganyi.
 
Koboko au Black mamba, huwa hang'oki meno Kama nyoka wengine. Yeye huuma kwa kuchoma na kuchomoa kama sindano. Na ana uwezo wa kuuma hata Mara 14, na sumu yake iko kama mafuta ya taa, inasambaa haraka Sana.
Ukiona kitu hiyo, kimbia mapema usjaribu kukabiliana nayo.
😁😁😁😁😁
 
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Sio wote wanaon'goka meno,jamii ya koboko kwenye meno kuna matobo ambayo hupitisha sumu,nyoka wa aina hii wanaweza gonga hata watu 20
 
Back
Top Bottom