Koboko ni hatari sana. Anagonga mara nyingi!Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koboko ni hatari sana. Anagonga mara nyingi!Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Mada ni koboko.Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Huyo jamaa pamoja na kujuwa vizuri nyoka lakini anamheshimu kobokoMpigieni Simon Key na demu wake.
Hyo mganga atakua alizimia kwa wenge[emoji28]Koboko kamgonga mganga mara nne kisha mganga akazimia na kuzinduka? Huyo mganga ana anti-venom mwilini ama nini hiki
Au Chai...!Mganga kanusurika
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.[emoji23]Mganga kanusurika
Kumbuka huyo ni mganga sio raia mwema
Koboko ndio black mamba?Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.[emoji23]
Mbinu nzuri sanaMbinu ya tatu tumieni drone zile za kunyunyiza dawa zina tank la kuweka dawa jaza mafuta ya taa,msake kwa drone alipo weka dawa za kumvutia asogee karibu Ili umsspray mafuta taa.
Drones pia zinatumika kuwafukuza wanyama waharibifu mashambani mfano tembo,na walao nyasi pia majumbani mfano simba,chui,nk.
Pia unaweza zitumia kupambana na wafugaji walishao mifugo kwenye mashamba unawaspray pilipili au maji washa au upupu.
# Tumepewa akili tuwatawale wanyama na vyoote vikaavyo duniani ikiwemo majini yasiyoonekana.
Yah , ndo huyo huyo.Koboko ndio black mamba?
Sasa akiachwa hadi akatotoa huoni ni hatari zaidi maana watakuwa wengiGreat !!! Hapo anakiota cha mayai atawapasuwa mbaya wamuache ashughulike na biolojia yake...
Nzuri Sana kwa wafugaji wakorofi hasa wasukuma na masai walishao mashambani Mwa watu kwa kuwapiga wakulima unawaspray pilipili au upupu au maji washa au kuspray nyasi pilipili Ili ng'ombe au tembo wasisogelee mazao.Mbinu nzuri sana
Nilikuaga na shamba tabora nikawa nimefuga kuku wa kienyeji,usiku akaja nyoka kagonga kuku kama 10 waliokua wanalalia mayai. Tulimsaka balaa kumbe tulikua tunajitafutia matatizo tuKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Wanakijiji wenyewe watakimbia droneTembo ukimpelekea drones speed yake utoiweza ukimbia hatari.
Drones ufukuza nyani,tumbili, na wanyama wote waharibifu ikiwemo ndege waharibifu pia.
Hii ni fursa kwa vijana msio na ajira drones zimejaa tele China bei rahisi kuanzia laki 3 hadi Dar msimu wa kilimo unarudisha pesa yako na faida tele unakodiwa na wakulima kuwalindia mazao yao.
Unaiprogram sauti yeyeto uitakayo zipo sauti na vitisho vya kila namna kulingana na ndege au mnyama uwatakao kuwafukuza.
Kuna watu wataiamini hii habarView attachment 2060887
Nyoka aina ya koboko anadaiwa kuweka kambi katika eneo la Mlimani City kata ya Ng'ambo manispaa ya Tabora ambapo amegeuka kuwa tishio la maisha kwa wananchi wa mtaa huo.
Katika jitihada za kumuondoa nyoka huyo wananchi walimleta mganga wa kienyeji ambaye alitamba kumuondoa nyoka huyo.
Mganga huyo Hassan Jumanne anasema alipanda juu ya mti wa muembe yalipo makazi ya nyoka huyo akiwa na chungu chenye uji wa moto ambao nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.
Uongozi wa kata hiyo umeanza jitihada za kuwasiliana na maliasili ili kumuondoa nyoka huyo.
Chanzo cha habari: CG FM Radio
Hapana kaka huyu ni zaidi ya BM, huyo akikugonga huchukui nusu saa sehemu aliyokugonga inaanza kuozaKoboko ndio black mamba?