Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

🤣🤣🤣 Tanzania sihami
 
Mkuu Unamjua koboko wewe? Yule aking'ata haachi meno Bali sumu yeke hupita kwenye meno yake kwenda kwa mjeruhiwa,na anao uwezo wa kungata zaidi ya Mara kumi.
Basi hana madhara sana kama anavyopigiwa chapuo, kang'ata mtu mara nne na bado akawa na uwezo wa kukimbia baada ya kuzinduka?

Au kinga ya mtaalam na yenyewe haikua haba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…