Tabora: Rais Samia akishiriki mkutano wa hadhara uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

Tabora: Rais Samia akishiriki mkutano wa hadhara uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

Ila wamekosea kufunga baadhi ya shule leo sababu ya ziara. Raisi anapaswa kuongea na wananchi sio wanafunzi ambao hawajui chochote
Tatizo letuni malalamiko siku zote, siku ya uchaguzi mnalala mpaka saa saba mchana na mkiamka mnaanza kufungulia runinga na kuangalia kama kuna waliofanya vurugu!.

Huwa hamuitumii fursa ya kuleta mabadiliko zaidi ya kulalamikia jamii forum, kitu ambacho hakiwezi kuwasaidia.
 
Back
Top Bottom