TUSHIRIKISHANE TABORA: Timu ya JamiiForums yapata ajali maeneo ya Mbaoni - Urambo

Poleni sana, na ahsante Mungu kwa kuepusha maafa.
 
tunawashukuru sana kwa upendo na ushirikiano mlioonyesha kwa hao wadau wa JamiiForums, Mungu awajalie uzima pia
 
Poleni, ila nazani dereva alikuwa ni ADA.
Huwa anaendesha kwa kasi sana.
Mwambie apunguze kidogo.
 
Aaaamen God is good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…