TUSHIRIKISHANE TABORA: Timu ya JamiiForums yapata ajali maeneo ya Mbaoni - Urambo

TUSHIRIKISHANE TABORA: Timu ya JamiiForums yapata ajali maeneo ya Mbaoni - Urambo

POLENI SANA MUNGU AWA NANYI MPONE HARAKA
 
Ahsante Mungu kwa kuwajalia kupona katika ajali hiyo, Mungu wetu ni mwema, naamini watapona na watarejea katika shughuli zao. sasa kama wana usafiri binafsi kurudi Dar wajitahidi wasiende mwendo kasi
 
Pole zao. Chanzo cha ajali ni nn? Maana hizo Prado huwa zina majanaga kwenye hizo Link za mbele. Mungu awajalie ahueni kwa waliopata majeraha
 
Pole zao. Chanzo cha ajali ni nn? Maana hizo Prado huwa zina majanaga kwenye hizo Link za mbele. Mungu awajalie ahueni kwa waliopata majeraha

Nawapa poleni.sana, nilikuwa sijui kama PRADO zina tatizo kwenye link za mbele - tatizo ni nini nuts zinafunguka au link zinakatika kirahisi? ebu fafanua please maelezo yako yanaweza kutusaidia wengi.
 
TAARIFA​

Tunasikitika kutangaza kutokea kwa ajali ya timu (2) ya wana Jamii Media, waliopo kwenye safari za mradi wa TUSHIRIKISHANE (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") iliyotokea hapo jana saa 5 asubuhi, maeneo ya Mbaoni - Urambo (Tabora). Timu hiyo ilikuwa na Meneja Uendeshaji na Mikakati wa Jamii Media, Bi Asha D. Abinallah na Afisa Miradi Bw. Ericus Kimasha.

Timu hiyo ilikuwa ikielekea Kigoma mjini ili kukutana na wenzao ambako walikuwa na ratiba Warsha, kwa ajili ya kuendeleza shughuli za Mradi wa TUSHIRIKISHANE mara baada ya kumaliza shughuli zake hizo jimboni Nzega.

Kwa sasa hali zao si mbaya sana na wapo njiani kurudi Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.

JamiiForums tunatoa shukrani za dhati kwa wana Urambo kwa Ushirikiano, Matibabu, Ulinzi na Usalama uliyotolewa wakati na baada ya ajali hiyo.

View attachment 383076

View attachment 383075

View attachment 383077


JamiiForums​

POLENI SANA
 
Poleni sana, tuna tumai mungu atawasaidia mtapona nakurudi kulitumikia taifa
 
Pole sana Rejao na Lizabon, siku ingine muwe munauliza humu kabla ya kuanza safari mpewe majina ya wazee wa kuwaona katika maeneo husika, mkifika nguruka mumwone kwanza mzee katonda ndio mwendelee na safari yenu.
 
TAARIFA​

Tunasikitika kutangaza kutokea kwa ajali ya timu (2) ya wana Jamii Media, waliopo kwenye safari za mradi wa TUSHIRIKISHANE (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") iliyotokea hapo jana saa 5 asubuhi, maeneo ya Mbaoni - Urambo (Tabora). Timu hiyo ilikuwa na Meneja Uendeshaji na Mikakati wa Jamii Media, Bi Asha D. Abinallah na Afisa Miradi Bw. Ericus Kimasha.

Timu hiyo ilikuwa ikielekea Kigoma mjini ili kukutana na wenzao ambako walikuwa na ratiba Warsha, kwa ajili ya kuendeleza shughuli za Mradi wa TUSHIRIKISHANE mara baada ya kumaliza shughuli zake hizo jimboni Nzega.

Kwa sasa hali zao si mbaya sana na wapo njiani kurudi Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.

JamiiForums tunatoa shukrani za dhati kwa wana Urambo kwa Ushirikiano, Matibabu, Ulinzi na Usalama uliyotolewa wakati na baada ya ajali hiyo.

View attachment 383076

View attachment 383075

View attachment 383077
View attachment 383135Jamii Media inawashukuru Sana Bw. na Bi. Banyanga, wamiliki wa Magole Pre & Primary School kwa kuwasaidia wafanyakazi wetu waliopata ajali
View attachment 383136
Jamii Media inawashukuru Afande Jonas na Afande Abdallah wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilayani Urambo kwa msaaada na huduma ya haraka kwa wafanyakazi wetu.

JamiiForums​
pole sana
 
Nawapa poleni.sana, nilikuwa sijui kama PRADO zina tatizo kwenye link za mbele - tatizo ni nini nuts zinafunguka au link zinakatika kirahisi? ebu fafanua please maelezo yako yanaweza kutusaidia wengi.
Siwezi kuelezea kiufundi sana vinaitwaje, lakini hizo gari zina hilo tatizo ni Ball Joint zinang'oka wakati gari linatembea. Na tatizo hilo ni kwa model hiyo. Matoleo mapya Wajapan walirekebisha dosari hiyo. Ila kuna jamaa zangu wengi zilitoka lakini hawakuwa kwenye speed.
 
Back
Top Bottom