DOKEZO Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wewe kwenye simu umeona mabaya tu
Hujui Kuna mazuri mengi ya simu,
Kwanini mnaamini mtoto kuwa na simu ni dhambi?

Haki ya misingi ni mtoto apate elimu hata iweje, awe mlemavu, awe Malaya, mlevi n.k
Hakuna sheria ya kutengua mtoto asipate elemu
Kamwambie mbunge wako sasa apeleke mswada bungeni ili sheria zibadilishwe ziwekwe unazo taka ww.
 
Sasa mbona kwa kufanya hivyo ndio wamezidisha ttz
We acha tu. Adhabu sio lazima kufukuza shule. MPE adhabu akome asirudie tena na akahadithie wenzake lakini kumfukuza shule ni kumharibia maisha yake tu.

Kwani kwa kupiga picha ya utupu kuna uhakika kwamba hawezi kuifaa familia yake, ukoo wake, na taifa hapo baadae? Huyo huyo akipata mazingira sawia anaweza kuleta mchango bora kabisa kwa nchi kuliko hata wenzake wengi humo darasani anakosoma
 
Katika mawaziri wote,ni Dkt. Gwajima pekee anayetenda kazi,wengine wanapiga porojo.
 
Watoto kama hao walitakiwa kuwekwa chini ya uangalizi na wafanyiwe cancelling waelimishwe na sio kufukuzwa. Siamini walikuwa wanayajua kwa upana madhara ya kujirekodi na ku post.
 
Nini sababu ya wao kujirekodi? Lazima wahojiwe pengine kuna watu waliyowashawishi kufanya hayo huenda pia ni vigogo, baada ya uchunguzi ndiyo wapewe adhabu wote waliyohusika ambayo haitawaathiri na maisha yao ya elimu.
 
Kuwafukuza wameasaidia nini?
Mnarudisha wenye mimba, mnafukuza waliorekodi viungo ni ujinga wa hali ya juu.

Hivyo uchi ndio uharibu maizha ya mtoto?

Walitakiwa kuadhibiwa, kurekebishwa na kuonywa
Dkt. Gwajima D
Hii haiko sawa
Tunafukuza ili wasisambaze sumu Kwa watoto wengine kuwarudisha wenye mimba Tanzania mostly ni siasa ila wengi huwa hawarudi
 
Wazungu na wasomi wao walisha kumbana sana na hayo mambo wakafikia proof na conclusion kuwa huo ni umri wa STUPID AGE ...
Walichokifanya hao watoto ndiyo maana halisi ya STUPID AGE hakuna kipya..kama ...serikali pumbavu ya ccm imeona ni sawa kuwarudisha shule wanafunzi walio zini hadi kupata mimba kabisa na kuzaa na kuwa wamama ....vipi hao kujirekodi tu video iwe kufukuzwa shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…