Kamwambie mbunge wako sasa apeleke mswada bungeni ili sheria zibadilishwe ziwekwe unazo taka ww.Wewe kwenye simu umeona mabaya tu
Hujui Kuna mazuri mengi ya simu,
Kwanini mnaamini mtoto kuwa na simu ni dhambi?
Haki ya misingi ni mtoto apate elimu hata iweje, awe mlemavu, awe Malaya, mlevi n.k
Hakuna sheria ya kutengua mtoto asipate elemu
Hakuna sheria ya kuzuia haki ya mtoto kupata elimuKamwambie mbunge wako sasa apeleke mswada bungeni ili sheria zibadilishwe ziwekwe unazo taka ww.
We acha tu. Adhabu sio lazima kufukuza shule. MPE adhabu akome asirudie tena na akahadithie wenzake lakini kumfukuza shule ni kumharibia maisha yake tu.Sasa mbona kwa kufanya hivyo ndio wamezidisha ttz
Kwahiyo wewe katika hoja zangu ulichokiona ndio hicho tu kwenye kujua jina la shule.?Unataka ukaopoe bebi mapema?
Maana nahisi umeshaona hiyo shule wanavipaji kwenye mambo ya ngono....
Ndo wamesha timuliwa sasa nenda katumie sheria zako kuwarudisha shuleni.Hakuna sheria ya kuzuia haki ya mtoto kupata elimu
Wewe ndiye huna adabu zaidi yao.Hawana adabu hawa wototo
Ebu tuone hizo picha zao kama unazo
Katika mawaziri wote,ni Dkt. Gwajima pekee anayetenda kazi,wengine wanapiga porojo.hakuna siri, kwa mtazamo wangu, katika mawaziri failures wa mama Samia huyu Dkt. Gwajima D anaongoza.
Taifa limeporomoka kabisa kimaadili mpaka naamini kuwa yeye ndiye muhusika mkuu wa maadili kuporomoka kwa kushindwa kwake kudhibiti kwa njia za kisasa.
Nilicheka peke yangu, aliponambia humu JF kuwa anatumia mbinu za enzi za mMkapa kupambana na matatizo ya sasa.
Nilimponda hapohapo, kwani hata nilipojaribu kumshauri alikuwa hanielewi kabisa. Nikaelewa kuwa huyu mwanamke hana ubunifu kabisa.
Tunajionea maadili ya jamii yanavyozidi kuporomoka kila kukicha.
Kuzima moto ndiyo kutenda kazi?Katika mawaziri wote,ni Dkt. Gwajima pekee anayetenda kazi,wengine wanapiga porojo.
sikupingi mkuu. Kuanzia ngazi ya familia hd kwenye ngazi za juu serikal.KAMA TAIFA TULIKWISHA FAIL KITAMBO SANA KATIKA SUALA LA MALEZI
Wewe ndiye upo nyuma ya wakati.Kuzima moto ndiyo kutenda kazi?
Watanzania tupo nyuma sana ya wakati.
Muono wako na wa Gwajima ndiyo mpo nyuma ya wakati, sana ytena sana. Dunia ya leo ni ya kupanda, haiendeshwi kwa kuzima moto.Wewe ndiye upo nyuma ya wakati.
Nini sababu ya wao kujirekodi? Lazima wahojiwe pengine kuna watu waliyowashawishi kufanya hayo huenda pia ni vigogo, baada ya uchunguzi ndiyo wapewe adhabu wote waliyohusika ambayo haitawaathiri na maisha yao ya elimu.Wakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Ana wivu wa kike huyoUna hakika huna chuki nae!!???
AMA una chuki na wanawake wote wasiovaa ushungi
hii ni personal vendetta kabisa
Mungu akupunguzie husda na chuki rohoni mwako
Tunafukuza ili wasisambaze sumu Kwa watoto wengine kuwarudisha wenye mimba Tanzania mostly ni siasa ila wengi huwa hawarudiKuwafukuza wameasaidia nini?
Mnarudisha wenye mimba, mnafukuza waliorekodi viungo ni ujinga wa hali ya juu.
Hivyo uchi ndio uharibu maizha ya mtoto?
Walitakiwa kuadhibiwa, kurekebishwa na kuonywa
Dkt. Gwajima D
Hii haiko sawa
Kabisa mkuu ile ni movie mtupu[emoji3]Na kwangu mimi nadhani ndio best video kwa bongo na kwa east africa upande wa porn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaboa sana yaniHuyo FaizaFoxy ni kafiri wa kiisiharamu...raia feki
Wazungu na wasomi wao walisha kumbana sana na hayo mambo wakafikia proof na conclusion kuwa huo ni umri wa STUPID AGE ...Lakini wakuu....
Minaona kwamba malezi ya mtoto hutokea nyumbani.
Ili mtoto awe na nidhabu, mwenye kuheshimu wakubwa, mwenye kutambua maadili mema nk: haya yooye huanzia nyumbani na kisha shuleni anaenda kufuata masomo pamoja na kuzifuata sheria za shule.
Mtoto aliepata msingi wa malezi bora anajulikana tu kuanzia kwenye discipline.