Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Tabau ninayopata kutoka kwenye familia yangu -14

Niliendelea kutafuta kazi baadae nikajikuta Niko bunju ,ngoja nielezee hapa vizuri yaani hizi direction nilikuwa nazipata hivi ,ukienda kwenye zahanati Dr wa pale anakwambia jaribu sehemu fulani nilisikia wanatafuta mtu ,hivyo nilifika tegeta ndio nikaelekezwa kufika bunju zahanati sitoitaja , nikaelekezwa nikifika pale wanahitaji mtu ,basi nilivyofika nikakutanishwa na bosi akaniuliza uliza vimaswali pale baadae nilifanikiwa kupata kazi pale ,Dr aliyekuwepo pale alikuwa anafanya kazi muda wote alikuwa Hana mtu wa kubadilishana nae hivyo tukaelewana tuwe tunabadilishana baada ya siku tatu

Basi mm nilirudi mkuranga kujipanga nione ni namna gani naweza kufanya kazi yangu vizuri ,nilifika mkuranga usiku nikaenda kwa juma ,jamaa nikamkuta yupo fresh akanieleza kuhusu vitu vyangu alivyochukua ,alisema kwamba amevipenda atanirudishia pesa niliyonunulia ,mm nikanyamaza Wala sikumjibu kimoyo moyo nikasema Sasa wewe aliyekwambia Mimi nauza ni nani ,na Mimi nikamueleza jamaa kwamba na Mimi nimepata kazi sehemu fulani ambapo nitakuwa naenda Kila baada ya siku 3

Basi baada ya siku 3 ,niliamka saa kumi na moja alfajir na kuwahi stendi ,nilifika mbagala kwenye saa 1 hivi ,gali za makumbusho ni za kugombania yaani gali hamna nilisubiri mpaka muda wa saa 3 ,yule Dr alishapiga simu kama zote sababu nilitakiwa kumtoa kwenye saa 2 hivi mpaka muda huyo saa tatu bado sijatoka mbagara

Baadae nilipata gali la makumbusho kufika makumbusho mwendo ni uleule gali za kugombania ,basi nilifika kazini kwenye mida ya saa 7 kasoro ,jamaa nilikuta amenuna hatari ,basi Mimi nikamuelezea changamoto zangu na ninapo kaa,jamaa akanishauri kwa Nini nisihamie karibu , nikamuelekeza hata pesa niliyokuwa nayo ya akiba ilikuwa imekata hivyo kupanga sehemu ya karibu mpaka nipate mshahara,jamaa akaniuliza siku yangu uliyoipoteza unaifidia vipi nikamwambia Mimi nitakufidishia siku nzima

Basi nilipiga kazi kwa kujituma sana ,bosi alitokea kunikubali sana na hii ilitokana na wateja kunipenda ,basi baada ya kupiga kazi pale, siku moja nikapigiwa simu kutoka tandika kwamba muda wa kuajiri umefika kama sijapata kazi niende ,basi nikaangalia maslahi nikaona sitoweza kufanya kazi sehemu mbili sababu kule tandika ilikuwa ni mwendo wa shift Sasa nisingeweza kwa sababu huku nakaa siku 3 ndio natoka ,basi ikabidi nimuunganishe jamaa yangu Dr Michael ,jamaa alienda kweli alipata kazi

Nilifanya kazi japo kulikuwa Kuna changamoto za migogoro na wale manesi ila ndio hivyo hakuna kilicho chepesi

Wakati napiga kazi pale niliendelea kutafuta kazi sehemu nyingine pia ,nilibahatisha kinondoni ,hapa nilipata lakini ilikuwa inatakiwa kuingia wikiend ,basi nikampanga jamaa yangu ikawa siku za ijumaa naelekea zangu kinondoni kupiga kazi

Siku moja kule bunju bosi akaniita ,kuingia kwenye ofisi yake nikakuta Kuna jamaa pia kakaa pembeni basi nikavuta kiti

Bosi akatoa utambulisho pale ,...




Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ikiemdelea nitag kaka
 
Mimi ni kijana nilizaliwa mwaka 88 Mwanza mjini, tuliishi kwenye nyumba ya familia ile nyumba tuliishi familia mbili babu alikuwa na wake watatu hivyo pale walekaa Bibi zangu wawili na watoto wao ambao Kila Bibi alikuwa na watoto Saba Kila mtoto alikuwa na watoto wake pia hivyo waligawana vyumba, Bibi mwingine yeye hakuzaa, japo babu alikuwa na nyumba nyingine tatu.
Kwanza tuelewane hapo siyo kwenu bali hapo ni kwa babu yako.
 
Tabau ninayopata kutoka kwenye familia yangu -14

Niliendelea kutafuta kazi baadae nikajikuta Niko bunju ,ngoja nielezee hapa vizuri yaani hizi direction nilikuwa nazipata hivi ,ukienda kwenye zahanati Dr wa pale anakwambia jaribu sehemu fulani nilisikia wanatafuta mtu ,hivyo nilifika tegeta ndio nikaelekezwa kufika bunju zahanati sitoitaja , nikaelekezwa nikifika pale wanahitaji mtu ,basi nilivyofika nikakutanishwa na bosi akaniuliza uliza vimaswali pale baadae nilifanikiwa kupata kazi pale ,Dr aliyekuwepo pale alikuwa anafanya kazi muda wote alikuwa Hana mtu wa kubadilishana nae hivyo tukaelewana tuwe tunabadilishana baada ya siku tatu

Basi mm nilirudi mkuranga kujipanga nione ni namna gani naweza kufanya kazi yangu vizuri ,nilifika mkuranga usiku nikaenda kwa juma ,jamaa nikamkuta yupo fresh akanieleza kuhusu vitu vyangu alivyochukua ,alisema kwamba amevipenda atanirudishia pesa niliyonunulia ,mm nikanyamaza Wala sikumjibu kimoyo moyo nikasema Sasa wewe aliyekwambia Mimi nauza ni nani ,na Mimi nikamueleza jamaa kwamba na Mimi nimepata kazi sehemu fulani ambapo nitakuwa naenda Kila baada ya siku 3

Basi baada ya siku 3 ,niliamka saa kumi na moja alfajir na kuwahi stendi ,nilifika mbagala kwenye saa 1 hivi ,gali za makumbusho ni za kugombania yaani gali hamna nilisubiri mpaka muda wa saa 3 ,yule Dr alishapiga simu kama zote sababu nilitakiwa kumtoa kwenye saa 2 hivi mpaka muda huyo saa tatu bado sijatoka mbagara

Baadae nilipata gali la makumbusho kufika makumbusho mwendo ni uleule gali za kugombania ,basi nilifika kazini kwenye mida ya saa 7 kasoro ,jamaa nilikuta amenuna hatari ,basi Mimi nikamuelezea changamoto zangu na ninapo kaa,jamaa akanishauri kwa Nini nisihamie karibu , nikamuelekeza hata pesa niliyokuwa nayo ya akiba ilikuwa imekata hivyo kupanga sehemu ya karibu mpaka nipate mshahara,jamaa akaniuliza siku yangu uliyoipoteza unaifidia vipi nikamwambia Mimi nitakufidishia siku nzima

Basi nilipiga kazi kwa kujituma sana ,bosi alitokea kunikubali sana na hii ilitokana na wateja kunipenda ,basi baada ya kupiga kazi pale, siku moja nikapigiwa simu kutoka tandika kwamba muda wa kuajiri umefika kama sijapata kazi niende ,basi nikaangalia maslahi nikaona sitoweza kufanya kazi sehemu mbili sababu kule tandika ilikuwa ni mwendo wa shift Sasa nisingeweza kwa sababu huku nakaa siku 3 ndio natoka ,basi ikabidi nimuunganishe jamaa yangu Dr Michael ,jamaa alienda kweli alipata kazi

Nilifanya kazi japo kulikuwa Kuna changamoto za migogoro na wale manesi ila ndio hivyo hakuna kilicho chepesi

Wakati napiga kazi pale niliendelea kutafuta kazi sehemu nyingine pia ,nilibahatisha kinondoni ,hapa nilipata lakini ilikuwa inatakiwa kuingia wikiend ,basi nikampanga jamaa yangu ikawa siku za ijumaa naelekea zangu kinondoni kupiga kazi

Siku moja kule bunju bosi akaniita ,kuingia kwenye ofisi yake nikakuta Kuna jamaa pia kakaa pembeni basi nikavuta kiti

Bosi akatoa utambulisho pale ,...




Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
@Numbisa Depal Watu8 Analyse nipo2
 
Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu -12
Nilipiga kazi mpaka asubuhi ,nilikuja kutolewa na Dr mwingine japo yule aliyenipa mchongo nilichukua namba zake ili ikitokea chance anishtue
Sikuona haja ya kurudi mkuranga niliona niendelee kutafuta kazi halafu jioni ndio nitarudi mkuranga ,basi katika pitapita zangu nikajikuta sehemu moja inaitwa tandika zahanati inaitwa afya Bora kama sijasahau ,nilifika pale nikamkuta Dr ,Dr wa pale alikuwa mkarimu sana tuliongea mengi akasema wanampango wa kuajili mtu hivi karibuni hivyo niache cv zangu watanitafuta watakapohitaji kuongeza mtu

Basi nilitembea tembea ila kulikuwa hakuna Cha maana ,ilivyofika jioni nikarudi zangu mkuranga ,nilivyofika kwa juma nilimkuta mke wake jamaa alikuwa ametoka ,nikachukua funguo za getoni kwangu

Kufika geto nguo zimetawanywa halafu kulikuwa na viatu vyangu fulani hivi sikuvikuta ,nishangaa mbona nimekuta geto limefungwa fresh tu ,basi nikapanga nguo zangu nikabaini Kuna baadhi ya nguo hazipo

Basi baadae nikaenda kwa jamaa kwa ajili ya chakula Cha jioni ,baada ya muda jamaa yangu akawa amekuja kavaa vile viatu na nguo zangu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Aisee,watu wa dar hao akili zao wanazijuaga wenyew,unaweza toka mikoani na akili zako nzur tu lakin ukifika dar tu unaanza kuwa mtu wa ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom