EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 3,781
- 12,091
Imekuwa kama network ya Airtel mara inapatikana mara inapotea.Inakata stimu kinyama.Leta mambo wewe mtoa uzi.Inaendelea inakata mpaka inakosa uhondo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwa kama network ya Airtel mara inapatikana mara inapotea.Inakata stimu kinyama.Leta mambo wewe mtoa uzi.Inaendelea inakata mpaka inakosa uhondo
Ndoa kwangu ni muhimu mno ,yaani ni swala la dharula ,kutembea na wanawake hovyo siweziNdoa ni wizi
Ndoa ni utapeli
Ndoa ni wizi wakuaminika.
Ndoa ni ulanguzi.
Ndoa ni unyang'anyi wakutotumia silaha.[emoji1787][emoji1787]
Bonafsi sikubaliani nayo hiyo hoja mkuu,hayo maneno ya wadau tu..Ndoa kwangu ni muhimu mno ,yaani ni swala la dharula ,kutembea na wanawake hovyo siwezi
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Mashoga wameanza tenaNdoa ni wizi
Ndoa ni utapeli
Ndoa ni wizi wakuaminika.
Ndoa ni ulanguzi.
Ndoa ni unyang'anyi wakutotumia silaha.🤣🤣
Ongeza japo mojaWakuu muda huu wa mwanzo wa mwezi ni muda wa kufunga report za mwezi uliopita hivyo nimebanana kidogo ,mungu akiijaalia jumatatu nitakuwa nimemaliza , tutaendelea na bandika bandua ,pia kesho nitajitahid nitume moja baada ya hapo ni bandika bandua
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Tuache wamakondeTabia hiyo ya kuombaomba kwa ndugu mwenye kazi ilizaliwa Kigoma, ikakulia Tabora na kwa Sasa imejichimbia umakondeni.
Wale waliokufanyia figisu ukafukizwa uliendelea nao au uliwatema?Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu -19
Ili kuweza kuwakamata vizuri nikawaambia naomba muandike barua za msombi upya ,walivyoondoka nikawaita watatu tuliokuwa tunaelewana nao kipindi kile kakini pia walikuwa hawana mishahara mikubwa ,kule nilipokuwa nafanyia kazi niliomba ruhusa ya wiki mbili
Baadae nikaenda kwenye barua za watu walizokuwa wanaomba ajira ,nikatafuta wale maatendant wa bei chee ,nikawaita kama 6 hivi ukijumlisha na wale 3 wanakuwa 9 na mimi mwenyewe wa kumi ,hao ndio wakawa watu wa permanet
Walivyofika wale sita nikawa nawafanyia interview ya uelewa wao kuna wawili niliwapenda sana hawa ndio nikawafanya mameneja
Baadae wale mabinti wote nikaanza kuwapiga msasa wa kazi ,kituo kilikuwa hakina dawa ,nilienda kwa wahindi kariakoo huko tulikuwa tunachukua dawa zamani kipindi kile bado niko hapo kazini ,jamaa wakakataa kunikopesha wakasema mzee aliacha kulipa deni la laki nane ,nikawaambia wakikubali kunikopesha hata hilo deni nitalipa
Basi nilichukua mzigo mkubwa sana ,ila sasa yule mzee akawa ananizungusha kusaini mkataba ,nikajua hapa ipo siku atanibadilika ila ngoja nicheze na muda tu
Aise mambo yangu yalinyooka sana madeni yote kwa wahindi nililipa nikawa na nunua keshi
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Pumbavu hivi unawezaje kuelewa kama unaropoka tu kabla hujasoma mpaka mwishoTafuta maisha ukae kwako,ujitegemee