Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Kwahiyo Jobless Ndugai amejiandaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kizalendo sana mkuu.
Naomba unifundishe na mim kizungu mkuuDuuh Mfecane war is started
Wengine huupata kwa kulea watoto waathirika bila kufahamu, wengine huupata kazini. Si wote wanapata HIV kutokana na ngono.
Nakijua basi nimesikia tuu huko sokono nikaokotezaNaomba unifundishe na mim kizungu mkuu
Naomba unifundishe na mim kizungu mkuu
Jibu ni moja tu hizi dawa hazitibu ukimwi. Zinarefusha maisha. Kama zinarefusha maisha, tujiulize sisi waathirika hatuna nyege?. Kama tunanyege tunazimaliza vipi?, Je kwa kupiga nyeto au kwa kushiriki tendo?.
Tuache ujinga, narudia tena tuache ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Magufuli ina pesa nyingi sana, atawanunulia hizo dawa kiasi cha kutosha
Moshi. Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (Tacaids) imesema wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya Ukimwi wamejitoa.
Taarifa hiyo imetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa Tacaids, Leonard Maboko kwenye ufunguzi wa wiki ya Ukimwi duniani uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Mandela vilivyopo Kata ya Pasua, Moshi mjini.
Hata hivyo, alisema mfuko ulioanzishwa na tume hiyo (AIDS Trust Fund) ulioanzishwa mwaka 2015 utasaidia kuziba pengo litakalokuwepo kwa miaka miwili.
“Wafadhili wameendelea kupungua nchini lakini huu mfuko wa ndani utasaidia kupunguza haya mapengo,” alisema Maboko.
Sasa hivi, alisema wafadhili wanatoa dawa za ARV lakini dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi wamejitoa.
Alisema mfuko huo utawasaidia Watanzania wanaohitaji dawa zilizokuwa zinatolewa na wafadhili waliojitoa.
Kwa upande wake, mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira alisema takwimu zinaonyesha maambukizo ya Ukimwi yamepungua mkoani humo kutoka asilimia 7.2 mwaka 2004 mpaka asilimia 2.6 mwaka 2018.
Aidha aliwataka wananchi kujitokeza kupima afya zao kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kujua hali za afya zao na kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi.
Kilele cha siku ya Ukimwi duniani ni Desemba mosi.
Chanzo: Mwananchi