TACAIDS: Wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya UKIMWI wamejitoa

Status
Not open for further replies.
Umeandika kizalendo sana mkuu.

Shukrani Mkuu .! Kwa asiyeifahamu hali halisi ya maisha ya ndugu zetu wanao ishi na VVU anaweza akasema au akashabikia au kushangilia usitishwaji wa DAWA. Huyu anayeshangilia akae akijua kuna siku yeye anaweza kuwa mmoja wa wahitaji wa hizo Dawa (Dunia duara)..!
Hizi dawa zimesaidia sana katika kuokoa maisha ya ndugu zetu, zikianza kuuzwa sijui itakuwaje yaani, watu wetu watakufa sana maana gharama ya kuzinunua iko juu sana.
Tutumie kondomu wakuu, UKIMWI upo.!
 

Tuache ujinga, tuache kugongana peku peku tutumie kinga UKIMWI upo .!
 
Serikali ya Magufuli ina pesa nyingi sana, atawanunulia hizo dawa kiasi cha kutosha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…