TACAIDS: Wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya UKIMWI wamejitoa

Status
Not open for further replies.
Kama anavyofanya kwa Corona

Muda si mrefu yule Mjinga Bichwa Kubwa atajitokeza kutangaza hakuna Ukimwi Tanzania...

Pumbavu sana yan
 
Bora waende. Ni aibu kuendelea kupokea msaada wa ARVs pamoja na condoms. Magufuli na regime yake sasa wafill hili gap. Hakuna namna nyingine
Yaani tuache kujenga standard geji na stigilazi goji kwa sababu ya ninyi mlioamua wenyewe kuingia uwanjani pekua pekua? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]... Just joking....
 
Nasema hivi: hamuwezi kuwa mnagongana peku daily harafu mnasubiri beberu aje kuwapa condoms na ARVs bure. Kama mnaweza kununua ndege kwa cash money, mnaweza kulipia condoms ninyi[emoji846]
Acha ukatili jombaa, hiyo ni ajali kazini banaaaa... Si unajua tena mambo ya pale kati patamu?
 
Hahaaaa kmmk
 
Kitakachofuatia ni serikali kuomba mkopo wa dharura WHO kushirikiana na World Bank ili kuokoa maisha ya waathirika.
Hahaaa hatuombi mikopo tutafanya maombi taifa litanusurika pia serikali itatoa agizo waathirika wote wapigwe nyungu
 
Umeandika kizalendo sana mkuu.
 
Mungu aliyetuponya na CORONA hatatuacha!!!!
Walitutabiria mizoga kuzagaa!!! MUNGU amekuwa upande wetu!!!

bado MUNGU yuleyule tumtegemeaye YU HAI!!!

NB: wewe upingaye nguvu za Mungu kwa kejeli na kutamani mabaya yatupate nina neno moja kwako!! UTUBU
 
Mungu aliyetuponya na CORONA hatatuacha!!!!
Walitutabiria mizoga kuzagaa!!! MUNGU amekuwa upande wetu!!!

bado MUNGU yuleyule tumtegemeaye YU HAI!!!

NB: wewe upingaye nguvu za Mungu kwa kejeli na kutamani mabaya yatupate nina neno moja kwako!! UTUBU
Shida uzinifu dhambi hapo Mungu lazma akae mbali
 
UKIMWI,mbona kama unachukuliwa simple? Jamii imesahau adha za wagonjwa wa UKIMWI? Sasa kama dawa zitaadimika hali itakuwa mbaya,wagonjwa wengi watakufa mapema
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…