Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

ccmu ndo waasisi wa haya , waliwatumia akina mwaipopo kuwajibu wakina prof shiv , ccmu ni takataka
Hao uliowataja nao walisimama mimbalini na kusajiri kitabu kipya cha injirii kiiitwacho dp weledi na kikasomwa huku waumini wao wakishangiria?? Hiki kituko kilichofanywa na viongozi wako wa dini hakivumiliki.
 
Acha tu ccm wapambane asilimia kubwa hawaiungi serikali uwekezaji bandari
Hiyooo asilimia kubwa ni kiasi gani. Acha kudanganya umaa, CCM tunaunga uwekezaji wa bandariii. Labda huko kwenye nyumba za ibadaa
 
Samia amekosa kabisa mbinu za kuliongoza taifa, practically kwa sasa ameamua kukaa kimya, kila mwenye la kusema amsaidie kusema ili kumpunguzia mzigo wa tatizo alilotengeneza kwa ukaidi wake.

Bahati mbaya hawa anaowaacha waseme ilimradi kumtetea, sasa ndio wanazidi kulifanya tatizo liwe kubwa, kwasababu wanaropoka kwa namna ya hovyo isiyo na staha kwa wale wanaowasema, matokeo yake hali ya Samia ndio inazidi kuwa mbaya.
Imagine IGP anamsaidia kwa kuwabambikia watu kesi ya 'uhaini'. Hawa wasaidizi wake ndiyo wanazidi kumharibia.
 
Back
Top Bottom