Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Mahubiri yako peleka kanisani kwenu sio kwangu. Mimi nakuchukulia kama taahira.
Haa haa 🥺🥺🥺, Umekasirika?

Si umefundishwa kuwa na "uvumilivu wa kisiasa" wewe?

Nimekuelewa bibie. Ila mimi si taahira. Mimi ni timamu 200% kuliko wewe..!!

Kwa heri usiku mwema bibie
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
Ongea ma muislamu yeyote yule leo hata unayemwamini ni mjuvi wa sheria na mambo anatetea DPW kisa Rais alieuingia ni muislam. Udini upo tayari na umeanzia upande huo. Nimemsikiliza hadi Prof. Asad na ubishi wake nae anatetea DPW. Only Prof. Shivji kaamua kubaki na busara zake. Maaskofu wako sahihi na wala si udini ni mkataba mbovu. Kikwete aanze kuwaonya wenzie kabla ya kuweweseka na watu wasiomhusu. Na kama anadhani bado watu wanamuheshimu kakosea mno.
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike. Kinachofanywa na TEC ni kuchonganisha serikali na wananchi huku wakitumia mbinu hatari ambayo sio ya kubeza.
Yote haya ya nini si muachane na DP world? Sijui mmelishwa nini hicho Cha kuwa madalali wa mwarabu!!!
 
Kuanguka kwa taasisi huanza kwa kushindwa kutoa huduma stahiki kwa wananchi au wateja
Ifike muda tubadili mtazamo wa kiutawala
 
Haa haa 🥺🥺🥺, Umekasirika?

Si umefundishwa kuwa na "uvumilivu wa kisiasa" wewe?

Nimekuelewa bibie. Ila mimi si taahira. Mimi ni timamu 200% kuliko wewe..!!

Kwa heri usiku mwema bibie
Hakuna uvumilivu kwa mtu mwenye udini. Halafu mimi sio bibie. Kamuulize mamako kuwa babako wa ukweli ni nani atakupa jibu.
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike. Kinachofanywa na TEC ni kuchonganisha serikali na wananchi huku wakitumia mbinu hatari ambayo sio ya kubeza.
TEC ni Kubwa kuliko CCM, UVCCM, Mwenyekiti wao Taifa na Wapumbavu wote waliojazana huko bila kuwasahau na Chawa wake / wao.

Imeisha hiyo....!!
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike. Kinachofanywa na TEC ni kuchonganisha serikali na wananchi huku wakitumia mbinu hatari ambayo sio ya kubeza.
Ushalijua Hilo mrembo eti eeeee, ndo maana nakupendaga Bure mama lake
 
Ongea ma muislamu yeyote yule leo hata unayemwamini ni mjuvi wa sheria na mambo anatetea DPW kisa Rais alieuingia ni muislam. Udini upo tayari na umeanzia upande huo. Nimemsikiliza hadi Prof. Asad na ubishi wake nae anatetea DPW. Only Prof. Shivji kaamua kubaki na busara zake. Maaskofu wako sahihi na wala si udini ni mkataba mbovu. Kikwete aanze kuwaonya wenzie kabla ya kuweweseka na watu wasiomhusu. Na kama anadhani bado watu wanamuheshimu kakosea mno.
Mbona Prof Assad kasema kuwa dosari za mkataba zinarekebishika
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike. Kinachofanywa na TEC ni kuchonganisha serikali na wananchi huku wakitumia mbinu hatari ambayo sio ya kubeza.
serikali inajichonganisha yenyew sabab TEC hawajaongea uongo wowote bali serikali ndo imekuwa ikidanganya wananchi mara huu sio mkataba ni makubaliano , mara huu sio mkataba wa milele wakat mkataba hauna kikomo , mara do world watawekeza 26T wkt kwenye mkataba hazinaandikwa , mara do world watahusika bandari ya dar tu wkt mkataba unasema ni mhimili yote ya maji ya Jamhuri ya Tanzania ( yaan Zanzibar na Tanganyika maziwa kwa bahari kwa mito ) SERIKALI NDO YA KUYALUMIWA KM WANGEFANYA MABORESHO BAS TUSINGEFIKIA HUKU
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
ccmu ni adui wa Nchi hii , Tupambane kuitoa ccmu , badala ya kufanya maboresho huo mkataba wao wanaona ni bora wahatarishe amani yetu , sijui waarabu waliwapa tsh ngap
 
Kazi ya CCM ni kuleta maendeleo kwa jamiii bila kujali itikadi za imani zao. Hivyo sijui ccm nao kama watajiingiza kwenye mtego huo wa udini kama chama flani kinavyofanyaaa
ccmu ndo waasisi wa haya , waliwatumia akina mwaipopo kuwajibu wakina prof shiv , ccmu ni takataka
 
Hakuna uvumilivu kwa mtu mwenye udini. Halafu mimi sio bibie. Kamuulize mamako kuwa babako wa ukweli ni nani atakupa jibu.
Bila shaka wewe una shida huko kwenye upstair yako..!

Unawezaje kuwa mwanaume halafu uwe na jina la mama a.k.a MamaSamia2025 halafu ukiitwa kwa jinsia yako "bibie" unaruka kimanga huku ukirusha matusi..!!?

What's wrong with you bibie?
 
Bila shaka wewe una shida huko kwenye upstair yako..!

Unawezaje kuwa mwanaume halafu uwe na jina la mama a.k.a MamaSamia2025 halafu ukiitwa kwa jinsia yako "bibie" unaruka kimanga huku ukirusha matusi..!!?

What's wrong with you bibie?
Kama umeshindwa kuelewa maana ya MamaSamia2025 tutaweza kuelewana kwenye nini wewe K?
 
Acha tu ccm wapambane asilimia kubwa hawaiungi serikali uwekezaji bandari
 
Back
Top Bottom