Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

ccmu ndo waasisi wa haya , waliwatumia akina mwaipopo kuwajibu wakina prof shiv , ccmu ni takataka
Hao uliowataja nao walisimama mimbalini na kusajiri kitabu kipya cha injirii kiiitwacho dp weledi na kikasomwa huku waumini wao wakishangiria?? Hiki kituko kilichofanywa na viongozi wako wa dini hakivumiliki.
 
Acha tu ccm wapambane asilimia kubwa hawaiungi serikali uwekezaji bandari
Hiyooo asilimia kubwa ni kiasi gani. Acha kudanganya umaa, CCM tunaunga uwekezaji wa bandariii. Labda huko kwenye nyumba za ibadaa
 
Imagine IGP anamsaidia kwa kuwabambikia watu kesi ya 'uhaini'. Hawa wasaidizi wake ndiyo wanazidi kumharibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…