Tafadhali kwa watanzania wanaoishi Marekani pita hapa

Status
Not open for further replies.
Okay then...more power to Nippon.
 
Right on.

Marekani si lazima uwe na elimu kubwa.

Cha muhimu kuliko vyote ni bidii ya uchapakazi na nidhamu ya hali ya juu.

Ukiwa na hizo sifa utafanikiwa tu.
 
Mi napiga kazi mpaka hapa nilipo na elimu sijawahi kuajiriwa nimepambana kivyangu na pia sio mtu wa starehe sijui kunywa pombe hapana walk sina ubishoo wa kwenda na fashion,nashukuru pia mke wangu ni mtu wa kazi sio sistaduu
 
Acha kumpotosha mwenzio wewe.....
 
Naomba kuuliza kwa niaba ya mke wangu..huko amerika biashara ya African print inalipa,anapenda sana kujifunza kushona vitenge n.k
 
Kwa miaka yako naona ui pursue hiyo chance. ..good luck. .
 
Asante kwa thread. Mimi pia nasubiri replies hapa
 

Kama umenisoma tangu nyuma badala ya kudandia mada, ungejuwa kuwa simkatishi tamaa ila nampa moyo.

Ila kama unataka kufanya kazi Facebook au Google au kampuni yote ya Silicon Valley, lazima usome Marekani na kila siku wana recruit doctorates wa kigeni.

Kama ungenisoma, niliandika kama wewe. Marekani si nchi ya mvivu. Kuna kazi kwa kila mtu ila mishahara ya kutisha lazima ujipange. Ya kununua mboga utapata ili ujenge. Ila Bill Gates anataka Ph.D katika mathematics.
 
Trust me. .huwezi ku regret. ..tena wewe mchapa kazi na nyumba umeenda. .marekani inakufaa sana. ...
 
Naomba kuuliza kwa niaba ya mke wangu..huko amerika biashara ya African print inalipa,anapenda sana kujifunza kushona vitenge n.k

Wamarekani Weusi wanapenda nguo za Kiafrika pamoja na Waafrika wanaoishi huko. Kutegemea na style anayojua, atauza sana nguo.

Ila vitenge ni summer wear. Hawezi kuuza zaidi ya miezi minne.

Pia, kusuka inalipa sana, all year round. Demu mmoja wa Ghana ndiyo kazi yake. Ni nywele za bandia na kushona nguo tu ndio kazi yake.
 
Fursa Marekani hazipo silicon Valley tu.

Na mafanikio si lazima uwe na shahada za juu.

Kuna ma small business entrepreneurs kibao wasio hata na shahada ya associates na wamefanikiwa kushinda hata hao ma PhD unaowataja taja.

Hivi wewe Marekani umeishi kwa muda gani?
 
Natamani lakini naogopa nisije jutia baadae,naona nifanye research kabla sijaamua, watu wanasema maneno mengi kuhusu Maisha ya marekani

Una elimu gani?
Ulicheza lotto bila kuiweka familia yako?
US is the best country around the World!
Hautajuta kuondoka TZ kuja hapa
Karibu sana Boise-Idaho tulime mbatata!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…