Tafadhali kwa watanzania wanaoishi Marekani pita hapa

Status
Not open for further replies.
Ulisemalo ni kweli aisee mtu ka anataka Ku back huko bure uwe na elimu nzuri tena usomee huko huko hasa program ulizozitaja hakika ukiwa mtaalamu huko ni kuzuri na Ku rahisi ila ka no elimu walah nahisi shida ni kubwa mno
KAMA HUNA ELIMU NI SHWARI ZAIDI
 

Nakubaliana na wewe.

Kwangu, pesa si muhimu kuliko peace of mind. I don't get it in Dar.

Siasa mbovu. Mahitaji ya binadamu tabu. Elimu shida.

Kuna wengine hawajali. Mimi najali. Ndio maana naishi nje.
 
Jamani hiyo lottery aliyopata huyo jamaa ni kitu gani? Je mtu anaipataje?
 
Reactions: SDG
Kuna mshikaji wangu yupo huko Minneapolis, Minnesota kasoma degree ya electrical and electronics eng university of Minnesota kawa huko almost 8 yrs..kapata pia job sio mbaya huwa ananicheki na dola kadhaa..Ila juz kati kaniambia anataka kurudi anaona kama kachoka kule kakumbuka home..bila kusahau akanambia kamis sana nyama choma hasa ya mbuzi nikasema karibu sana broo kuna chocho nying kupata hiyo nyama tamu..USA ni ngumu kuipata

Nikasema duuh inakuwaje hapa..Ila anasema marekani ni sehemu nzur kwa kuishi..!!
 
Stick to your Asia and I'll stick with my US of A.

America has been so good to me.

USA baby [emoji631] [emoji631] [emoji631] [emoji631]
 

Thank you.
 
Nampotosha na nini ? Au unafikiri hiyo Marekani tumeishia kuiona kwenye Atlas ? Sawa nampotosha ukweli ni upi ?
Eti baki hapahapa uweke misingi vizuri.....unaweza kupeleka hata familia yako ....sijui.. Hawii ..pumba tu kwa uchumi gani huu tulionao???Mshauri mwenzio atoke hii nchi...kama Marekani hujaishia kuiona kwenye atlas utanielewa ninayokwambia
 
huu Uzi unatuhusu tunaokaa USA tu kama akina nyani ngabu nashangaa mnaingilia ingilia tu mada hapa.karbu sana we unaekuj nna nastay hapa L.A [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
huu Uzi unatuhusu tunaokaa USA tu kama akina nyani ngabu nashangaa mnaingilia ingilia tu mada hapa.karbu sana we unaekuj nna nastay hapa L.A [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Una pesa au ndio maandhali tu ndio furaha kwako hata kama unaosha vizee mavi..
 
Una ugomvi na Nyani Ngabu subiri aje na detail hizo picha kama sio za miaka ile Mohamed ally anapigana sijui na hiyo moja baada ya mafuriko hao wanaodai ni masikini basi ni wavivu tu na 44m wakati marekani kuna 450m ya watu huo umasikini ni wa kujitakia
 
samahani kwa kuvamia uzi mimi natafuta usa citizen au permanent resident ambaye anaweza kuwa cosigner kwenye my student loan
yaani bila us citizen au permanent resident student loan hawatoi
tuta negotiate kiasi gani nimlipe loan ikiwa approved
ntamrelease kwenye loan as soon as i complete my study
thanks in advance
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…