Wewe unaonekana ni mtoto wa mama, yaani kula kulala.
.
Hata Kama Marekani kuna maisha magumu, je? Utafananisha na maisha ya Tanzania Chini ya ccm?
Ugumu wa maisha wa marekani una afadhali mara 100,000 kuliko bongo.
wala hukupaswa kuhoji, Marekani ktk majimbo yote 51 hakuna mfanyabiashara aliyefunga biashara eti Kwa Sababu ya kubambikiwa kodi au mzunguko mbovu wa pesa.
Marekani hakuna mwanaharakati aliyepotea Kwa Sababu ya kumkosoa Rais.
Bongo ni Jehanamu bana asikuambie mtu, kwanza hukupaswa kuhoji humu ungejiondokea zako kimya kimya tu, humu kuna mi ccm ina laana itakukatisha tamaa.
Yaani kwenda USA baby hadi unataka ushauri?
Aisee hiyo bahati na ije kwangu jamani,siye tunaishia vinchi vya Africa tu, halafu wewe unaleta mapozi...