Tafadhali kwa watanzania wanaoishi Marekani pita hapa

Tafadhali kwa watanzania wanaoishi Marekani pita hapa

Status
Not open for further replies.
Kuuliza sio ujinga. Hiyo vd lottery ni kitu gani? Nimejaribu kuconnect dots naishia katikati.
Google.com
Mara nyingi, watu hupenda kuiremba Marekani na barabara safi na majumba makubwa.

Marekani kuna maisha ya kitajiri na kuna maisha duni kama ya Afrika.

Hatuwezi kuifananisha Marekani na Tanzania. Maisha ni tofauti sana kutegemea na elimu ya mtu.

Mtoa mada, kama unategemea kuajiriwa, uwe na elimu inayohitajika na waajiri. Hata kama ni daktari Tanzania, huwezi kuanza kazi bila ya ukaguzi wa vyeti vyako na kama umesona nje ya Marekani, digrii yako huenda isiwe sawa na ya Marekani mpaka ufanye course kadhaa. Hii huchukua muda.

Nakushauri uende peke yako kwanza. Nakushauri usiende Michigan, nenda majimbo ambayo yana kazi zaidi na tajiri zaidi. Michigan ipo hoi kiuchumi. Kwa kuanza, New York, California, Texas.

Nakushauri utafute kazi katika mtandao au usome kazi ziliopo katika mtandao kabla ya kwenda na usome gharama za maisha katika majimbo tofauti yanayolingana na elimu na ujuzi wako.

Tafuta kazi ambazo ni nyingi na rahisi kupata kwa elimu yako. Jisomee mwenyewe.

Maisha kokote ni magumu lakini utafanikiwa mwisho.

Kila la kheri.

Hii pia ni Marekani.

b986305f2148ab373e553ee296d5a107.jpg


1a9cf61c107d90d87c9ca828c86f2f96.jpg


e3f287840f7a43ca131cc5117e2df22c.jpg
 
All the best ukifanikiwa ulete mrejesho mi kuna waliotoka mbelez waliporejewa walikuwa wamechoka Sana tu.
 
Kuuliza sio ujinga. Hiyo vd lottery ni kitu gani? Nimejaribu kuconnect dots naishia katikati.

Kila mwaka Serikali ya Marekani inatoa bahati na sibu kwa njia ya mtandao. Raia 50,000 wa nchi kadhaa ikiwemo Tanzania, wanaweza kucheza hio bahati kwa kujiandikisha katika mtandao wao.

Huhitaji malipo ila uwe na elimu ya sekondari. Ukishinda, unapewa viza ya kuishi Marekani (green card).

Electronic Diversity Visa Lottery

https://travel.state.gov/content/da...ranslations/DV-2017 Instructions and FAQs.pdf

Katika tovuti hiyo ya juu, unakuta maelezo zaidi jinsi ya kujiandikisha.
 
Utajutia Vipi wewe? Au nikuite bwege? Unataka kulinganisha nchi Ya third world na Marekani? Kubwa jinga halafu kunguru wewe! Kwani ukienda Marekani na usipopapenda si unarudi kwenu kipawa aka minazi mirefu...! Ingia vitani na pambana na maisha...$ 10 trillion economy huwezi kosa japo kidogo... Keki kubwa Marekani na Kama Siyo mvivu italipa Sana...
Asante..
Kuuliza si ujinga,nilikuwa sifahamu mengi kuhusu marekani zaidi ya kuona kwenye picha na kusikia wabongo wakipondea life la huko,nikapata wasiwasi
Mimi ni mchapa kazi haswa as long as pesa inapatikana na kazi zipo za kutosha
 
Hongera sana mkuu hiyo ni bahati iliyoje. Usiache ipite as you will always wonder what-if. That said, please note maisha ugenini si mchezo, especially kama huna box la maana. My advice to you is go by yourself and taste the waters first, ndio ujipange kuhusu familia (approx. year or so). However, do so if and only if;

  • Una mwenyeji realible and/or savings ya kueleweka to help support you (for at least 6-8 months) ukifika huko
  • You are not afraid of work (mambo ya sijui mimi nilikuwa nafanya ofisini, ni branch manager and blah blah forget it)
  • Your wife is able to financially support the family in your abscence. This way if things don't work out you can come back to a somewhat comfortable life.
Asume kama angekuwa mfanyakazi serikalini au private sector ungemshaulije ? Akache hizo kazi hapa bongo au aende US?
 
Nimechaguliwa tayari ,natakiwa niendelee na Hatua zinazofuata ili kupata visa
Hiyo ni kama kuamua kwenda mkoa mwingine kuangalia fursa, usiiache, kama nambo hayataeleweka rudi Tz uendelee na biashara yako. Usiiuze nyumba wala kuiua biashara yako, kwani Tz itaendelea kuwa nyumbani, na US kuna fursa nyingi, bora hasa elimu/afya/bidhaa kwa ajili yako, mke wako na watoto.
 
Other than Chilli's, and McDonald's, what high quality restaurants can one go to in your city?

You are funny. Do you really consider Mickey D's to be a high quality eatery?

Ever been to Chops and Lobster?

chops_lobster.jpg


Ever been to the Cabernet steakhouse?

image_400x400.jpg
10495474_eXNrB-ae6yPRObZnP_gvhxlY8WCG5mREQ2p5MHCXObY.jpg



Ever been to Chama Gaucha? Del Frisco's grille? Ruth's Chris?

Hahahaaaa me and you may be on very different levels....I'll leave it at that.
 
Asante..
Kuuliza si ujinga,nilikuwa sifahamu mengi kuhusu marekani zaidi ya kuona kwenye picha na kusikia wabongo wakipondea life la huko,nikapata wasiwasi
Mimi ni mchapa kazi haswa as long as pesa inapatikana na kazi zipo za kutosha
Pesa kibao.. Ni nguvu yako halafu Wewe ukiingia unakuwa ready made nikiwa Na maana Huna pingamizi lolote ktk kutafuta Kazi kwa sababu utakuwa na vibali vyote halali vya kuishi. Ukiwa mchapakazi utapata mshahara hata kumshinda mbunge bongo.. Wale wanaopata shida huku wengi wao mapepa Yao Ya hapa figisu figisu ndiyo maana inakuwa ngoma.. Mwanzo utakuwa mgumu kidogo kusettle kimazingira na mabadikiko kawaida Ya kimaisha, lakini baada ya mwaka unapeta. Mkeo na Waache kwanza ili ukajiandae halafu baada ya mwaka unawavuta. Ingia vitani mjomba
 
Mwakani USA baby inanihusu,ntakuja hata kwa mguu.
Naomba niwaulize wajuvi ipi njia rahisi ya kupata viza ya huko,mfano nkiamua nitoke bongo mpaka mexico alafu nikaombea viza mexico au nchi za jirani urahisi utakuwepo au bora kuombea hukuhuku TZ.(kuja kutembea tu sio kubeba box)
Omba Tz
 
All the best ukifanikiwa ulete mrejesho mi kuna waliotoka mbelez waliporejewa walikuwa wamechoka Sana tu.

Kama huna elimu bora Marekani, kazi ni tabu sana. Kama umesoma vizuri, hasa vyuo vya Marekani na una digrii inayohitajika, kazi zipo nyingi tu.

Warusi, Wayahudi na Wahindi wanakuja kila siku California. Hawakosi kazi kwa sababu wamesomea Marekani (Ph.D level) somo linalohitajika katika uchumi wao kama Robotics, PC programming, AI, finance, mathematics , medicine na kadhalika.
Kama umesoma masomo yaliyopitwa na wakati, usitegemee kupata kazi rahisi katika nchi inayokaribisha wageni Milioni moja kwa mwaka.
 
Kutoka Tanzania kwenda tu nchi yoyote nje ya hapa kasoro Congo, Somalia na Syria ni NEEMA

Kutoka Tz kwenda USA ni BARAKA

hali ngumu ya maisha ukiwa USA kamwe haiwezi kufanana na hii hapa nusu Jehanum.
 
Kutoka Tanzania kwenda tu nchi yoyote nje ya hapa kasoro Congo, Somalia na Syria ni NEEMA

Kutoka Tz kwenda USA ni BARAKA

hali ngumu ya maisha ukiwa USA kamwe haiwezi kufanana na hii hapa nusu Jehanum.

Marekani hata kama mtu huna elimu ya juu, ukiwa mchapaka kazi na mwenye nidhamu basi utafanikiwa tu.

Fursa zipo nyingi mno.
 
You are funny. Do you really consider Mickey D's to be a high quality eatery?

Ever been to Chops and Lobster?

chops_lobster.jpg


Ever been to the Cabernet steakhouse?

image_400x400.jpg
10495474_eXNrB-ae6yPRObZnP_gvhxlY8WCG5mREQ2p5MHCXObY.jpg



Ever been to Chama Gaucha? Del Frisco's grille? Ruth's Chris?

Hahahaaaa me and you may be on very different levels....I'll leave it at that.

I doubt it, homes. I was just kidding with you. You gotta be a fool if you don't know MikiD's is junk food.

But I know one thing, there ain't better service, better food in the world than in Tokyo.

There is this brewery I go to where I can drink the freshest craft beer on tap.

d2af3a3c6b06e2e2d71629c04bf6efac.jpg


777746f52a6d3a5de3f9bbf43b311751.jpg



America has good restaurants but Japan has better restaurants and more higher quality ones. I don't need Michelin stars to make my point.

And waiters get paid so well that customers don't have to tip!
 
Kanuni za maisha ni zilezile tu popote pale.

Kwani kwa mfano bongo mbwembwe hazihitaji uwezo wa kifedha?

Hata bongo usipokuwa mchapa kazi maisha yatakupiga tu.

Mbona kila siku huku mitaani watu tunawaona waliopigika...

Mbaya zaidi wapo wafanyakazi walio wachapa kazi na waadilifu lakini bado maisha yao ni magumu tu.

Mimi naamini kabisa kiwa kanuni za maisha ni zilezile popote pale.

Usipokuwa mchapa kazi na mtu mwenye nidhamu lazima tu utapata wakati mgumu na maisha yako.

Maisha mazuri yanahitaji nidhamu ya hali ya juu....uwe unaishi Manyoni au Maine....kanuni ni zilezile tu.
Of course mbwembwe zinahitaji pesa sehemu yoyote duniani, that's given. Sema watu wengi wanajitutumua wakati uwezo hawana. Kama unazo fedha za kufanya mbwembwe, why not? Lakini bado naamini Marekani kuna fursa nyingi zaidi ya bongo. Huyo kaka anaonekana mchapa kazi, I believe he will be more than fine, asiishi tuu above his means, and he will be fine.
 
Pesa kibao.. Ni nguvu yako halafu Wewe ukiingia unakuwa ready made nikiwa Na maana Huna pingamizi lolote ktk kutafuta Kazi kwa sababu utakuwa na vibali vyote halali vya kuishi. Ukiwa mchapakazi utapata mshahara hata kumshinda mbunge bongo.. Wale wanaopata shida huku wengi wao mapepa Yao Ya hapa figisu figisu ndiyo maana inakuwa ngoma.. Mwanzo utakuwa mgumu kidogo kusettle kimazingira na mabadikiko kawaida Ya kimaisha, lakini baada ya mwaka unapeta. Mkeo na Waache kwanza ili ukajiandae halafu baada ya mwaka unawavuta. Ingia vitani mjomba
Shukrani mkuu
 
Kama huna elimu bora Marekani, kazi ni tabu sana. Kama umesoma vizuri, hasa vyuo vya Marekani na una digrii inayohitajika, kazi zipo nyingi tu.

Warusi, Wayahudi na Wahindi wanakuja kila siku California. Hawakosi kazi kwa sababu wamesomea Marekani (Ph.D level) somo linalohitajika katika uchumi wa wao kama Robotics, PC programming, AI, finance, mathematics , medicine na kadhalika.
Kama umesoma masomo yaliyopitwa na wakati, usitegemee kupata kazi rahisi katika nchi inayokaribisha wageni Milioni moja kwa mwaka.
Acha hizo.. Usimkatishe mtu tamaa! Hao wenye elimu bongo wanaomaliza vyuoni kila siku Kazi wanazo? Kama Huna elimu Marekani unaingia nguvu Kazi Ya construction mpunga Wa kumwaga Na baada ya miaka 5 uko mbali. Kazi kibao Marekani, kila mtu na nafasi yake.. Aliye na elimu na asiye na elimu.. Ukiwa mvivu usije huku kaa huko huko bongo kwa maskini,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom