Tafadhali mwenye Vifuatavyo anitafute upesi PM nivinunue hata kwa Tsh Milioni 5

Tafadhali mwenye Vifuatavyo anitafute upesi PM nivinunue hata kwa Tsh Milioni 5

1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Simba kasha kufa za kutosha, taufuteni hivyo vifaa angalau suluhu ipatikane
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Tuma advance nipo na Kila kitu
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Ongeza na fisi jike
 
676b9aa5-1ad4-4130-8f42-fc60c79dbe71-jpeg.2522218_1.jpg
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Brother wewe ni mganga tuelewe kwanza
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Leta location mkuu .. Kazi imeisha
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.

Mkuu [mention]Mshana Jr [/mention] hebu toa neno hapa
 
da!!!!! Ila we jamaa basi tu.

Sema nakukubali sana kwa sababu we ni mpenzi wa Wenge musica BCBG kama mimi.....Ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom