Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa mbona MINOCYCLINE kafufuka ghafla! Kumbe mshindi wetu wa mchongo ameshakula umeme. 😃Waliyokupa tuzo, unafanana nao akili.
Huyu jamaa tuzo zimemtoa akili kabisa, bora zamani kidogo alikua nazo chache ni mihemko ya kihisia ndo ilimsumbua ila kwa sasa kichwa maji akili zinaelea tu.Waliyokupa tuzo, unafanana nao akili.
Zeruzeru havikosi, vyote hivyo uto wanakua navyo kwenye vault zao pale jangwani.fala sana wewe jamaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] machozi ya fisi unayapata wapi
Kuja kukomenti hapa Ni kuweweseka zaidi. Saikolojia haidanganyi.Kama mmefuatilia mtagundua kuwa watu wa simba wanaweweseka sana kuelekea mechi ya jumapili
Havai yule ni dhambi anasema inafyoza unyevu nyevu kwa hiyo anakosa utohara wakati wa mahubiri.Bila chupi ya mfalme Zumaridi hivo vitu vote ni feki tu.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.Huyu jamaa tuzo zimemtoa akili kabisa, bora zamani kidogo alikua nazo chache ni mihemko ya kihisia ndo ilimsumbua ila kwa sasa kichwa maji akili zinaelea tu.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.Nimeshangaa mbona MINOCYCLINE kafufuka ghafla! Kumbe mshindi wetu wa mchongo ameshakula umeme. 😃
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.Huyu mzushi akiachwa ipo siku atakuja kuleta maafa makubwa hapa nchini. Vyombo vya Usalama hebu fanyeni kazi yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankolii kula chuma hichoooooo, nacheka km mazuriiiiiiTuliosoma cuba, maana yake mnyama kafa tayari [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuja kukomenti hapa Ni kuweweseka zaidi. Saikolojia haidanganyi.
Hivyo vitu vyote Yanga wanavyo kwenye makabati Yao na baadhi Manara anavitunza nyumbani kwake.( Sorry Manara Hana kwake Bali amepangishwa na mwanamme mwenzake mjini) Hasa hayo maji maiti Ndiyo huwa Takadini anayatunza.
Anko! Mpira dhambi kwanzaa 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankolii kula chuma hichoooooo, nacheka km mazuriiiiii
Tangu lini ankoliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anko! Mpira dhambi kwanzaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu lini ankoliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna ghaflaa sanaaa??
Ingia mzigoni, utayapata tu, labda mtoa mada ni mkemia ana utaalam wa kuyajua 🙂fala sana wewe jamaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] machozi ya fisi unayapata wapi
Alokwambia anachukiwa ni nani??Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.