ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Mi naamini,kweli hawa hawako fit,na wao wanajua,hata Kanali Muna,atakua alijisahau kuomba msaada wa wanajeshi hata 30,waje wapambane na Kato,yakamkuta yaliyomkuta.Jeshi lingefumuliwa kwakweli.Recruitment ifanyike upya,waingie wale wa one man army,siyo wale ambao ni group oriented army.Wanajeshi wa "kamlete"..... Yaani mmoja mmoja wanagongeshwa vya kutosha mnoooo... .