Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

we kijana una safari ndefu sana kuujua huo "usahihi" kama hata uwezo huo wa kuelewa utakua nao.

Unawaza kama popo mkuu hauwezi kuleta logic za kitoto kupingana na nature, bro mwanamke na mwanaume wameumbwa tofauti na majukumu yao ni tofauti.

kila siku humu unaelezea maadili "yako" ya kiislamu je KWANINI HAKUNA NABII MWANAMKE ?! Of course hauwezi kuwa na jibu, utalipata wapi marioo ulieaminishwa "maisha kusaidiana"

Unapozungumzia nature unajua unazungumzia mpaka Viumbe wengine kama wanyama, samaki na Ndege?
 
we kijana una safari ndefu sana kuujua huo "usahihi" kama hata uwezo huo wa kuelewa utakua nao.

Unawaza kama popo mkuu hauwezi kuleta logic za kitoto kupingana na nature, bro mwanamke na mwanaume wameumbwa tofauti na majukumu yao ni tofauti.

kila siku humu unaelezea maadili "yako" ya kiislamu je KWANINI HAKUNA NABII MWANAMKE ?! Of course hauwezi kuwa na jibu, utalipata wapi marioo ulieaminishwa "maisha kusaidiana"

Mimi nawajua manabii zaidi ya kumi wanawake kwenye kitabu cha Biblia.
Au unazungumzia Quran?

Mwanamke kusoma au kufanya kazi haihusiani na umarioo.
Umarioo umamhusu Mwanaume asiyetaka kufanya kazi.

Sheria ya Mungu kwa wote ni kufanya Kazi. Kwa wanawake na wanaume. Kasome Torati.

Wewe usisomeshw binti zako wawe wa bei nafuu na kutumikishwa kama mapunda na wanaume wajinga kama wewe
 
Kiranga si unaona? Wengi wanaoleta hizi mada za kuponda wanawake wamekariri mambo kwenye video za mitandaoni.

Hilo neno 'simp' linamuumbua mleta mada moja kwa moja.

The unpaid Seller unaharibiwa na internet influencers. Wanafanya ke waonekane wabaya ili washike attention za me, ili wauze dating courses😂

Nisamehe kwa gazeti nimeshindwa kujizuia.
na mnaotetea women empowerment mmekariri influencers wa wapi ?
 
Kiranga si unaona? Wengi wanaoleta hizi mada za kuponda wanawake wamekariri mambo kwenye video za mitandaoni.

Hilo neno 'simp' linamuumbua mleta mada moja kwa moja.

The unpaid Seller unaharibiwa na internet influencers. Wanafanya ke waonekane wabaya ili washike attention za me, ili wauze dating courses😂

Nisamehe kwa gazeti nimeshindwa kujizuia.
Huyu ningemwambia amsikilize Tracy Chapman katika "Telling Stories".

Telling Stories

Song by Tracy Chapman

There is fiction in the space between
The lines on your page of memories
Write it down but it doesn't mean
You're not just telling stories

There is fiction in the space between
You and reality
You will do and say anything
To make your everyday life seem less mundane
There is fiction in the space between
You and me

There's a science fiction in the space between
You and me
A fabrication of a grand scheme
Where I am the scary monster
I eat the city and as I leave the scene
In my spaceship I am laughing
In your remembrance of your bad dream
There's no one but you standing

Leave the pity and the blame
For the ones who do not speak
You write the words to get respect and compassion
And for posterity
You write the words and make believe
There is truth in the space between

There is fiction in the space between
You and everybody
Give us all what we need
Give us one more sad sordid story
But in the fiction of the space between
Sometimes a lie is the best thing
Sometimes a lie is the best thing

Oh the best thing
Is the best thing


View: https://youtu.be/ruZjjXGCKC0?si=azyYBPoIMHCxCTdK
 
Unapozungumzia nature unajua unazungumzia mpaka Viumbe wengine kama wanyama, samaki na Ndege?
Kama unaamini mwana-mume na mwana-mke ni sawa taja mtume au nabii yeyote mwanamke vinginevyo na vimaadili vyako wewe umnafiki na usiye na unalofahamu kuhusu asili ya mwana-wa-adamu.
 
Mimi nawajua manabii zaidi ya kumi wanawake kwenye kitabu cha Biblia.
Au unazungumzia Quran?

Mwanamke kusoma au kufanya kazi haihusiani na umarioo.
Umarioo umamhusu Mwanaume asiyetaka kufanya kazi.

Sheria ya Mungu kwa wote ni kufanya Kazi. Kwa wanawake na wanaume. Kasome Torati.

Wewe usisomeshw binti zako wawe wa bei nafuu na kutumikishwa kama mapunda na wanaume wajinga kama wewe
kufanya kazi ni matokeo na adhabu kwa mwanaume kitabu cha Mwanzo 2 mwanamke alipewa jukumu la kuzaa kwa uchungu. Kungangania wanawake wafanye kazi ni uvivu wa enyi mamarioo mwiba michele
 
Kama unaamini mwana-mume na mwana-mke ni sawa taja mtume au nabii yeyote mwanamke vinginevyo na vimaadili vyako wewe umnafiki na usiye na unalofahamu kuhusu asili ya mwana-wa-adamu.

Mwanaume na mwanamke ni sawa ila hawalingani.
Wanahaki Sawa zisizo lingana.

Manabii wa kike wapo wengi Mkuu acha kubisha mambo usiyoyajua;
1. Miriam Dadaake Musa NI Nabii
2. Ruthi ni Nabii
3. Esther NI Nabii
4. Sarah ni Nabii
5. Anna ni Nabii
6. Debora

Reference unataka?
Lk 2:36 SUV
Palikuwa na nabii mke, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila ya Asheri, na umri wake ulikuwa miaka mingi, alikuwa amekaa na mume miaka saba baada ya uanawali wake.

Kut 15:20 SUV​

Na Miriamu, nabii mke, ndugu yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.

Hujatosheka?
 
kufanya kazi ni matokeo na adhabu kwa mwanaume kitabu cha Mwanzo 2 mwanamke alipewa jukumu la kuzaa kwa uchungu. Kungangania wanawake wafanye kazi ni uvivu wa enyi mamarioo mwiba michele

Adhabu sio jukumu.
Kazi ni jukumu.
Elewa tofauti ya hayo maneno.

Kabla ya kuasi Adamu na Hawa wote walipewa jukumu la Kufanya kazi(kulima bustani na kuitunza) hiyo ni amri ya Mungu.

Kisha wakapewa amri ya kutokula tunda.
Walipokula wakapewa adhabu.

Haya kasome Methali 31 ujue majukumu ya Mke mwema anayetoka kwa Mungu. Kama huwezi nikuwekee hapa kwa faida ya Wengine.

Mithili 31

10Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?
Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.
11Moyo wa mumewe humwamini,
Wala hatakosa kupata mapato.
12Humtendea mema wala si mabaya,
Siku zote za maisha yake.
13Hutafuta sufu na kitani;
Hufanya kazi yake kwa moyo wote.
14Afanana na merikebu za biashara;
Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla usiku haujaisha;
Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;
Na wajakazi wake sehemu zao.
16Huangalia shamba, akalinunua;
Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;
Hutia mikono yake nguvu.
18Huona kama bidhaa yake ina faida;
Taa yake haizimiki usiku.
19Hutia mikono yake katika kusokota;
Na mikono yake huishika pia.
20Huwakunjulia maskini mikono yake;
Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake;
Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22Hujifanyia mazulia ya urembo;
Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni;
Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24Hufanya nguo za kitani na kuziuza;
Huwapa wafanya biashara mishipi
 
Huyo wa love connect kama anajiweza kiuchumi basi mwambie huna kazi upo tayari kumuoa halafu lete jibu lake hapa
umejibu off topic (hii pia ni sifa mujarabu ya wanamake wajuaji ila zero) wewe ulisema wanamake wasio na ajira ndio hupenda kuolewa, nikakuuliza kulikoni love connect WENYE AJIRA WANATAFUTA WAOLEWE, kilaza unajibu niwafuate alafu nilete majibu !!

Hoja ilikua ninahitaji kuoa mwanamke mwenye ajira ?! Aise wanawake ni vilaza, uwezo finyu sana wa kuchanganua hoja

Screenshot_20220316-152322_Chrome Beta.jpg
 
Kama unaoa mwanamke mwenye elimu basi hakikisha una elimu kubwa kushinda yeye na kipato kikubwa kushinda yeye. Hapo kama akili zake ni fupi basi ndio atakuheshimu. Ila mwanamke mwenye akili hata awe nani lazima atamuheshimu mwanaume.

Hivyo tatizo sio kuoa mwanamke msomi, bali tatizo ni kuoa mwanamke asiye na akili wala heshima. Na vilevile kama huna akili basi usioe mwanamke aliyesoma, kikawaida ili kuwe na heshima ni lazima mwanaume amzidi mwanamke akili.

Mimi hakuna mwanamke atakayenisumbua hata awe ni astronaut anafanya kazi nasa.
Waliofanikiwa ktk hili ni wale waliofanikiwa kuwaachisha wake zao kazi wakabaki kuwa wamama wa nyumbani lkn km bado yuko kazini na amezungukwa na wanaume pengine wana vipato kuliko ww na anaelimu yake na bado anauhakika wa kuongeza vyeo kazini mjomba hutoboi ktk hili
 
Wangu anakazi,nahisi nitamwacha muda SI mrefu,Hana faida hata afanye kazi zenye Hela huwezi kumkuta Hana Hela sana sana atataka kula na Hela zako umezipata Kwa jasho na damu.kazi Yao ni kukopa tuu na kuishi maisha ya anasa,kununua vitu Ambavyo hata havihitajiki.ukiongea sana utaonekana unagubu walahi .wakati huu nitaoa msasai ambae ni primitive kabisa,Wana uelewa flani hivi na uvumilimu
 
Back
Top Bottom