Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

Wanaume wengi kama sio wote tunataka hao vingangarika.

Hii niliwahi Kuiona hata China huko wanawake Wasomi wanateseka wameamua kununua Yale madildo yawafariji Kwa sababu wanaume wanawakwepa.

Kikubwa utii na amani full stop

Wanaume wasiojiamini ambao ni wengi.
Unajua kuna baadhi ya ishu tulikuwa tunadanganywa zamani ambazo kwa sasa ukifuatilia unagundua ulikuwa ni uongo.
Mojawapo ni suala la uoga. Wanaume ni wwngi ni waoga kuliko wanawake.
Sasa mwanaume anaogopa Mwanamke aliyesoma au mwenye pesa au mwenye mamlaka. Huo uoga ni wakijinga.

Sisi wengine tunafuata wanawake wenye sifa ambazo wanaume wengi wanaziogopa ikiwemo elimu kubwa, kipato kikubwa au cheo kikubwa.

Mwanaume mwoga huendeshwa na Mwanamke yeyote tuu. Hiyo ya kusema elimu sijui kipato au cheo ni kisingizio tuu
 
Mkuu wewe sasa unazungumzia Mwanamke mjinga........sisi tunaongelea wenye kazi na wasomi.......kama hakusoma degree sio kwamba ni mjinga kama unavyotaka tuamini.

Hivi hizi shule zilivvyozagaa miaka hii alafu binti wa miaka ya 2000 hajasoma utasemaje kuwa anaakili?

Wakati wazazi wamepeleka shule, serikali inahangaika kuboresha sekta ya elimu, wadau na media inapromoti elimu ili binti asome alafu inatokea hajasoma wakati alipewa nafasi ya kusoma, utasemaje anaakili?

Akili anaweza kuwa nazo lakini Ipo below average
 
Wanaume wasiojiamini ambao ni wengi.
Unajua kuna baadhi ya ishu tulikuwa tunadanganywa zamani ambazo kwa sasa ukifuatilia unagundua ulikuwa ni uongo.
Mojawapo ni suala la uoga. Wanaume ni wwngi ni waoga kuliko wanawake.
Sasa mwanaume anaogopa Mwanamke aliyesoma au mwenye pesa au mwenye mamlaka. Huo uoga ni wakijinga.

Sisi wengine tunafuata wanawake wenye sifa ambazo wanaume wengi wanaziogopa ikiwemo elimu kubwa, kipato kikubwa au cheo kikubwa.

Mwanaume mwoga huendeshwa na Mwanamke yeyote tuu. Hiyo ya kusema elimu sijui kipato au cheo ni kisingizio tuu
Jatuogopi ila tunaona ku cheat ni rahisi Ukiwa na mwanamke ambae sio msomi maana hatoweza kukufanya lolote.
 
Kaka umeongea ukweli anarudi home amenuna af anasema usiniguse Nina stress za kazini afu analeta amri kama anaishi na kavulana katoto kumbe ndo mume,.tukubliane tena mlango wa dada wa kazi usiwekwe kitasa
 
Jatuogopi ila tunaona ku cheat ni rahisi Ukiwa na mwanamke ambae sio msomi maana hatoweza kukufanya lolote.

Hivi kati ya Mwanamke msomi na ambaye ni local nani rahisi kutongoza/kutongozwa?

Wanawake wasioenda shule ni rahisi zaidi kutongozwa na wanatongozwa na vijana wengi tofauti na wasomi.

Wanawake wasomi na wenye vipato wengi wanadharau wanaume wajinga(wasio enda shule) pia wanatype zao ambao ni chache.

Inahitaji wanaume jasiri sana kuwafuata, ambao wanaume jasiri ni wachache mno.

Kwa mfano, Mwanamke akiwa mkurugenzi ni ngumu sana kutongozwa na wafanyakazi wake lakini Mwanamke akiwa hajasoma na ni mfagizi wa ofisi atatongozwa na kila mtu hadi vijana wa hovyo
 
Nabishana na sister angu hapa, kijana wake alioa msomi mwenye ajira na mshahara wake, walifunga ndoa kanisani na wamezaa mtoto mmoja ndoa imekula mueleka wa haja kubwa. Mwanamke haambiliki, ni mbinafsi, anataka atumie mshahara wa mume wake tu, wa kwake anajengea kwao na kafungua miradi ya kiuchumi nyumbani kwao bila kumshirikisha mume wake. Mke kapata danga la haja libosi lake na limemshauri akafungue mashauri ya kuomba talaka mke awe huru kuolewa kwingine. Nimemshauri sister aache kumchochea mwanae kuoa wanawake wasomi wenye ajira zao ni wasumbufu hawaambiliki, hawashauriki, hawana utii kwa waume zao ongeza na uzinzi walio nao. Bora kijana akaoe mwanamke mwenye elimu ya kawaida asiye na makuu mwenye nidhamu na mambo ya ndoa
 
Nabishana na sister angu hapa, kijana wake alioa msomi mwenye ajira na mshahara wake, walifunga ndoa kanisani na wamezaa mtoto mmoja ndoa imekula mueleka wa haja kubwa. Mwanamke haambiliki, ni mbinafsi, anataka atumie mshahara wa mume wake tu, wa kwake anajengea kwao na kafungua miradi ya kiuchumi nyumbani kwao bila kumshirikisha mume wake. Mke kapata danga la haja libosi lake na limemshauri akafungue mashauri ya kuomba talaka mke awe huru kuolewa kwingine. Nimemshauri sister aache kumchochea mwanae kuoa wanawake wasomi wenye ajira zao ni wasumbufu hawaambiliki, hawashauriki, hawana utii kwa waume zao ongeza na uzinzi walio nao. Bora kijana akaoe mwanamke mwenye elimu ya kawaida asiye na makuu mwenye nidhamu na mambo ya ndoa
Mkuu wanaume tutoe tamko sasa....tusisahau na wanawake wenyw biashara na mitaji mikubwa
 
Mkuu wanaume tutoe tamko sasa....tusisahau na wanawake wenyw biashara na mitaji mikubwa
wanawake wafanyabiashara nao ni mkumbo mmoja tu na wenzao wasomi na wenye ajira. Tatizo wanawake wakimiliki fedha huona ndio mume wao mkuu. Hawaheshimu ndoa zao, utii kwa waume zao hawana ni jeuri balaa
 
Ndoto ya mwanamke yeyote ni kuolewa uwe msomi au hujasoma kuishi alone unakuwa mchawi na problematic kwenye jamii.

Pili kusoma tuu sio guarantee ya kupata pesa Bali unatakiwa upate pesa Ili Kuendesha maisha na Hadi kesho huko Dunia iliyotangulia mwenye pesa ni mwanaume zaidi kuliko mwanamke maana Kuna Baadhi ya kazi hakuna mtu anapolea mwanamke.
Wewe mwanaume unajuaje ndoto ya mwanamke?
Kuolewa enzi hizo sio kwa sasa
 
Kwani tunaishi na nyumbu au wanawake?
Unaishi na wanawake wangapi hadi useme ndoto ya kila mwanamke ni kuolewa..

Hiyo sio ndoto. Bali ni utaratibu uliowekwa na watu wakaaminishwa kwamba mwanamke ni lazima aolewe. Na sisi waafrika ndo imetukaa akilini tunalazimisha ndoa hata kama watu wanachukiana karibia kuuana tunawalazimisha wasiachane.
 
Maisha yamebadilika. Watoto wa kike wa sasa hivi hawataweza kufanana na wale wa mwaka 47. Haitakuja kuwezekana hata siku moja. Wazazi wenyewe ndo sisi...hao hao tuliosoma.
kusoma peke yake inaweza isiwe shida sana ila mwanamke asome na AWE NA AJIRA hapo jeuri ni LAZIMA.

So yes wanaweza kusoma na wakaolewa makiwa na elimu YA WASTANI sio degree au masters na bado akafaa kua mke ila pele tu anapokua ati na ajira hapo hua lazima, LAZIMA muote mapembe.
 
Na watoto wako wa kike watabaguliwa hivyo hivyo maana watakuwa wasomi.

Lakini uzuri ni kwamba tunapoelekea mtoto wa kike atakuwa anaweza kujitunza mwenyewe kimaisha so sidhani kama itakuwa tatizo maana wanawake wengi wanaolewa kwasababu ya kukosa kuelekeo wa maisha.
napinga, nenda love connect utakuta wanawake ooh "natafuta mume upweke umenichosha nina degree najiweza kiuchumi mimi sio mzigo"

kwahyo wanawake hawaolewi kwa kukosa mwelekeo. HAO wenye kujiweza kiuchumi wanatafuta nini kule love connect ?
 
kusoma peke yake inaweza isiwe shida sana ila mwanamke asome na AWE NA AJIRA hapo jeuri ni LAZIMA.

So yes wanaweza kusoma na wakaolewa makiwa na elimu YA WASTANI sio degree au masters na bado akafaa kua mke ila pele tu anapokua ati na ajira hapo hua lazima, LAZIMA muote mapembe.
Sidhani kama una mawazo ya kuwasomesha watoto wako wa kike mwisho sekondari.

Mzazi yoyote atapenda mtoto wake asome hadi level ya juu na kupata kazi nzuri.

Labda uwalee kwa lengo na kuwa wake za watu hapo baadae.
 
napinga, nenda love connect utakuta wanawake ooh "natafuta mume upweke umenichosha nina degree najiweza kiuchumi mimi sio mzigo"

kwahyo wanawake hawaolewi kwa kukosa mwelekeo. HAO wenye kujiweza kiuchumi wanatafuta nini kule love connect ?
Huyo wa love connect kama anajiweza kiuchumi basi mwambie huna kazi upo tayari kumuoa halafu lete jibu lake hapa
 
Tafiti zinathibitisha ndoa za mwanaume mtafutaji na mama wa nyumbani kufurikwa na amani na furaha. (Jifanye simp utakuja kufa kwa mastroke na utuachie huyo feminist tukimtomber)
Kiranga si unaona? Wengi wanaoleta hizi mada za kuponda wanawake wamekariri mambo kwenye video za mitandaoni.

Hilo neno 'simp' linamuumbua mleta mada moja kwa moja.

The unpaid Seller unaharibiwa na internet influencers. Wanafanya ke waonekane wabaya ili washike attention za me, ili wauze dating courses😂

Nisamehe kwa gazeti nimeshindwa kujizuia.
 
Kama umezoea kunyanyasa na kuabudiwa kama mungu mtu basi upo sahihi kabisa.
Lakini kama wewe ni mtu wa haki, upendo, ukweli na akili basi upo mbali kabisa na usahihi.

Watu wake zao ni mawaziri na wakurugenzi na wanaheshimiwa wewe unazungumzia hivyo vi-degree vya kukariri na mtu ambaye ni mfanyakazi anayelipwa chini ya milioni moja.
we kijana una safari ndefu sana kuujua huo "usahihi" kama hata uwezo huo wa kuelewa utakua nao.

Unawaza kama popo mkuu hauwezi kuleta logic za kitoto kupingana na nature, bro mwanamke na mwanaume wameumbwa tofauti na majukumu yao ni tofauti.

kila siku humu unaelezea maadili "yako" ya kiislamu je KWANINI HAKUNA NABII MWANAMKE ?! Of course hauwezi kuwa na jibu, utalipata wapi marioo ulieaminishwa "maisha kusaidiana"
 
Back
Top Bottom