GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Tumewaonea tu Huruma nanyi mshinde ili mfurahi
2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure
3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere
4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa
5. Tumeshachoka kila mara Kuwafungeni kwani ingeonyesha kuwa Upinzani wetu Umeshakufa
6. Wachezaji wetu walikuwa bado hawajachanganya na kuelewana
7. Sisi tunajua ni Mechi ya Uwanjani tu kumbe Wenzetu hadi Wanakufuru kwa Mungu kwa Kuroga vibaya
Kudadadeki litakufa Jitu Kesho kwa Mkapa.
2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure
3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere
4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa
5. Tumeshachoka kila mara Kuwafungeni kwani ingeonyesha kuwa Upinzani wetu Umeshakufa
6. Wachezaji wetu walikuwa bado hawajachanganya na kuelewana
7. Sisi tunajua ni Mechi ya Uwanjani tu kumbe Wenzetu hadi Wanakufuru kwa Mungu kwa Kuroga vibaya
Kudadadeki litakufa Jitu Kesho kwa Mkapa.